Popular Posts

Saturday, December 28, 2019

UKWELI KUHUSU NENO LA MUNGU


Bwana Yesu asifiwe sana  lengo la somo hili Ni kukufanya uone Siri iliyomo ndani ya Neno la Mungu ili kwa Siri hizo uweze kutembea na Mungu kwa viwango vikubwa zaidi

Yohana:1.1
Hapo mwanzo kulikuwako Neno , naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Yohana:1.2
Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
Yohana:1.3
Vyote vilifanyika kwa huyo ; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika .
Yohana:1.4
Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu .
Yohana:1.5
Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza

```Ukianza kusoma maandiko haya matakatifu utaanza kugundua Siri nyingi Sana kuhusu neno la Mungu```

Ansema mwanzo yaan b4 all or at the beginning of everything the word exists

Si hvyo tu huyo neno alikuwa kwa Mungu na alkuwa Mungu mwenyewe


Kuna mtu hajaelewa
Ngoja nkupe mfano kidogo

 mwanzoni (in the beginning)  palikuwa na wazo nalo wazo lilikuwa kwa Elikado nalo wazo ndilo Elikado(yaani ndilo linamtafsir Elikado n nan) 

Anaposema Neno alikuwa Mungu maana yake there is no way unaweza kutofautisha kati Ya Mungu na huyo neno

Ukiendeleabele mbele kidogo utaona anasema bila ya neno hakuna kilichopo leo na muonekano wake ambacho kiliweza kufanyika pasipo yeye
Na si hivyo tu anasema pia ndani yake Kuna uzima(life) na si tu uzima au maisha ya kawaida noon maisha ambayo tafsiri yake ni Nuru ya watu

Na kikubwa zaidi juu ya ya hiyo nuru anasema ina uwezo wa kung'aa gizan kwa kiwango ambacho giza haliwezi kui0vercome kwa namna iwayo yote ile

It is a supernatural light
Biblia inasema wewe uliyebeba neno kwa kuokolewa na kutengwa na maovu yako ni nuru ya ulimwengu ana maana ulimwengu woote unaweza kumulikwa na nuru itokayo ndani mwako
sasa hasemi neno lililopo ndani yako ndyo Nuru ya ulimwengu hapana wewe mwenyewe ndye Nuru ya ulimwengu

Maana yake nini
Ni Kama anataka kutumbia ya kwamba unajazwa neno la kristo kiasi ambacho unakuwa huna tofauti na neno n kwamba unakuwa n neno lenyewe

Yaan watu wakilichek neno wakikuchek wewe hawawezi kuona toafut


Turud kwenye msingi wa neno letu la leo
Sasa biblia inasema kwamba sisi n mashihid was kushuhudia kile neno la Mungu linasema
Na Jambo la kukumbuka hapa ni hili
Waebrania:4.12
Maana Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.


Neno li hai yaani linaishi
Kwa maana kwamba linaweza kuperform linachokisema

Natena Lina Nguvu ya kuperform kile linachokisema

Lina uwezo huo yaani kile linakisema kimo ndani ya uwezo wake wali halitafuti sifa ni Jambo ndani ya uwezo wake kabisa

Na likianza kutenda kazi au kuperform kile limesema n Zaid ya upanga mkali ukatao pande zake zote mbili n Kama anasema Lina tenda zaidi ya silaha au nyenzo zozote zenye uwezo za kimwili zinaweza tendA

Na baada ya perfrom lilichokisema matokeo yanaonekana= kuzigawanya nafsi na roho na viungo vyote

Na matokeo yake yanakuwa n extra ordinary kwa sababu linazaa matokeo ambayo kwa namna ya kibinadamu haiwezekani kabisa
Sasa Kama neno Lina jitosheleza kias hicho Kaz ya shahidi mimi na wewe n nini
???

Kazi ya shahidi kamwe sio kuamua kesi

Kazi yake huwa n kuthibitisha Kama kniachosemwa n kweli
Sasa tunathibitishaje kuwa neno Lina uwezo huo Kama mashahidi

Zekaria4.6 Akajibuakaniambia, akisema, Hili ndilo neno la Bwana kwa Zerubabeli, kusema, Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa roho yangu, asema Bwana wa majeshi .

Yaaani n kwa Roho yake Bwana Mungu tunaweza kuthibitisha hilo neno linasema

Lakin piah neno hili la Mungu Lina uajabu wake kidogo
Yohana:6.63
Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.
Utaona ya kwamba kwa mujibu wa yohana anasema ndani yake neno ndimo ulimokuwamo uzima

```Lakni hapa anatuambia ya kwamba Roho ndiyo inauchukua uzima uliomo ndani ya neno na kuuinsert ndani mwako!```
```Swali langu linakuja kwako uzima huo ndani mwako unaoletwa ne neno unawezaje kuwa Nuru ya watu??```

Kumbuka hili
Yohana:1.4
Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima , nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu .

Maana yake nn
N kwamba neno Lina ndan yake
Ukilitazama kwa nje nje n vgumu Sana ukagundua kama Lina uzima ambao unaweza kuwa Nuru kwa watu wengine

Kwa maana hiyo basi Kuna namna tunahitaju hekima ya kutusaidia kutazama kwa undani na kwa kina kutambua neno la Mungu ili litusaidie kutambua uzima au kwa lugha nyepesi life

Na maisha hayo yanaanza kuachilia nuru
Nuru maana yake ninu
Nuru Ni direction inayoleta uwezo wa kufanya mambo kwa usahihi
Yaani unafanya huku unaona
Hauendi kigiza giza
Unajua unakoelekea

Tazama Kuna namna ambavyo watu wa mataifa Wana uwezo wa kuhukumu makosa ya watu wengine kwenye jamii zao kupitia mifumo ya maisha ya watu waliopo juu ya hilo eneo
kuna mtu hajanielewa

Maana yangu ni kwamba maisha yako wakiyaona watasema kweli wewe n mtu wa Mungu

Sasa kusema wewe n mtu wa Mungu kwa lugha nyepesi Wana wanatambua watu wa Mungu wanafananaje na si hvyo tu wanajua Mungu anawataka watu wake waweje

Kuwa Nuru maana yake n kuonesha kipi Ni sahihi na kipi sio sahihi
Kwa mkrsto serious na mungu akipita mahali watu Kuna namna watakupa hata mamlaka ya kuamua nakosa yao kwa sababu wanajua wewe una neno la upatanisho

Watataka uwe kiongoz wao kwa sababu utawapeleka kwenye hatima bora
Kuwa Nuru maana yake watu wenye matatzo yao wakikuona wewe wanaona majibu na suluhu za matatzo yao

Na hiyo yote n matokeo ya lile neno la Mungu ambalo limekujaa moyoni mwako

Nisikie kwa makini mtu wa Mungu
Neno la Mungu likikaa ndani mwako umebeba Mungu mwenyewe nazungmzia neno liliko moyoni mwako na linakuongoza kwenye kila Jambo linalohusu maisha yako
Neno la Mungu linamuelezea Mungu!
Unachosoma kwenye neno ndicho hasa kinacho muelezea uhalisia wake Mungu
Hakuna tofaut hata kidgo kidgo kati ya neno lake na yeye mwenyewe
Hakuna kabisa

Isaya:55.8
Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu ; asema Bwana
Isaya:55.11
ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma .

Embu jarbu kusoma bolded words peke yake

Utagundua Kuna namna mawazo ya Mungu baba ndyo maneno yake haswaaa

Na si hvyo tu lakni piah ndyo mipango yake juu ya watu wake
Kwa mantiki hiyo neno la Mungu Ni utendaji kazi halisi wa Mungu
Kuna mtu anajiuliza kivipi

Naana yake ni kwamba kama wazo lake aliliwaza kama Mungu akalichakata kama baba uwe na uhakika amelithibitisha mpaka analileta kama Neno sio mchezo mchezo lazima liwe alivyosemaaa
Mungu wetu n Mungu wa viwango hawezi kuwa na wazo akalichakata alafu ety lisitimie sio Mungu ninaye mjua mimi

Kile alichosema lazma kiwe alivyosema
Kwa maana hiyo ndan ya neno la Mungu Kuna wazo la Mungu
Na wazo la Mungu ndyo mapango alio nao kuhusu wewe na mm
Huo mpango ndo maisha yenyewe sasa

Sasa kuishi ndan ya wazo na mapngo wa Mungu unashindwaje kuwa Nuru unashindwaje kuonesha direction kwa ulimwengu unashindwaje kuwa chumvi yenye kuleta radha kwa dunia

Kuna Jambo Moja nataka ulijue hapa
Nmegundua waAfrica wengi Sana wako na hofu za ajabu wanawaogopa vitu ambavyo hata havitakiwi kuviogopa
Unakutana na mtu akikutana na mzungu pengine kamzungu hako n kapagani anaanza kujing'atang'ata wengine hata kuongea nae hawezi na una Mungu ndani yako na unajiita Nuru ya ulimwengu
Mm nilifanya uamuzi sitamnyenyekea mzungu ila mzungu atakuja kutafuta solution kwangu

Jaman embu tukumbuke umebeba neno la uzima iliyo nuru ya ulimwengu ndani mwako
Kama kingeereza chako cha kuunga unga tembeza ivo ivo kama huwezi chochote mwamabie Jesus loves you and you need Jesus inatosha

Hawajajua haki yao kimaandiko
Ngoja nkutazamishe jambo jingine
Biblia inasema hivi

Zaburi:107.20
```Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao``` .

Zaburi:103.20
Mhimidini Bwana, enyi  malaika zake, Ninyi mlio hodari, mtendao neno lake, Mkiisikiliza sauti ya neno lake.

neno la Mungu ndilo limebeba amri ya Nini malaika zake wafanye na Nini wasikifanye
Unapokuwa na neno ndani yako unakuwa na Nguvu ya kuleta matokeo makubwa kwa sababu mbingu yote inakupa sapoti kikamilifu

Ndani ya neno la Mungu Kuna Kila kitu ambacho tunahitaji juu ya maisha yetu
Watu tunataka tu kufarijiwa naa watumishi watutabirie tuuy alafu hatuna neno kabisa huku ndani
My friend huna touti na mtu ameenda kwa mganga
Nataman uwe unalichimba neno liwe lako hate mtumish akisema umebarikiwa unaelewa maana yake nini

Hata Kama mtumishi hajamaanisha kwako linakuwa na matokeo makubwaaa
Kula neno
Kula neno
Kama unataka kutembea na viwango vikubwa kwa mwaka wako mpya neno liwe mstari wa mbeleee
Usikae kizembe zembe bhb
Wewe n nuru
Chumvi
Majibu
Daraja
Huwezi kuwa yote haya alafu umekaa kizembe zembe tuuy husomi neno husomi vitabu
Umekaa hapo unasubir mwaka huu mtumish atasema n mwaka wa ukuu

Sawa yaweza kuwa n mwakaa wa ukuu
Ila si kwa kubweteka ivo
Utakuwa n mwaka wa ukuu kwa wakuu wanaotafuta neno la Mungu kwa Nguvu zote
Hutak mafundisho hutak kujifunza unataka tu kuhama hatua kivipi sasa mtu wa Mungu?

Tuna vuna tulichopanda
Unataka hayo yote yaliyo ndani ya neno la Mungu yawe maisha yako ya kila siku lazima uchukue hatua ya kujifunza na kutafuta maarifa kila leo

Mfano tunaelekea mwaka mpya sasa
Kinachofanya mwaka uwe mpya ni Nini?
Maana utakuta nyumba yenu ipo pale pale haijahama
Utakuta wingu na jua n vile vile si kwamba vitaanza kutoa moto
Ardhi n ile ile si kwamba itabadilika kuwa dhahabu
Mwaka mpya n Nini sasa
Mwaka mpya unakuja pale unapogeuzwa mfumo was kufukir kwako

Unapobadilishwa mtazamo wako
M nakwambia Kuna watu weng Sana tutawaacha 2019  japo watakuwepo 2020 lakin watakuwa n watu wa 2019 bado kwa SABABU mentality zao bado zipo pale pale
Anza kule neno la uzima kwa bidiiiiiiii Sasa usiseme nitaanza kesho au mwaka mpya
Anza muda huhuuu

Monday, December 16, 2019

UMEJIANDAAJE NA KUJA KWAKE BWANA MARA PILI/ARE YOU PREPARED?

Part 2

Matayo:24.38

Kwa kuwa kama vile siku zile zilizokuwa kabla ya Gharika watu walivyokuwa wakila, na kunywa, wakioa na kuolewa, hata siku ile aliyoingia Nuhu katika safina, 
Matayo:24.39
 wasitambue , hata Gharika ikaja , ikawachukua wote, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu .

Ukitazama maandiko haya utagundua kwamba kuna Mambo Hawa watu walikuwa wakiyaishi

Yaan walikuwa wakiendelea na shughuli za kawaida za kila siku kias ambacho kwa akili ya kibinadamu isingekuwa rahis kumuelewa Nuhu anaongelea nn anaposema kutakuwa gharika ya maji

Ndvyo tulivyo hata leo hii mifumo ya maisha na Mambo kadhaa yanatufanya tuone Kama kile kilichoandikwa hakina uhalisia ivi

Nkukumbushe tu Bible iliandikwa huku waliondika wakiongozwa na Roho kila neno ndani yake limethibitishwa n kweli na n halisi halijachakachuliwa

Hakuna swala la labda au pengine akisema ipo hivi anamanisha

Angalia namm maandiko haya

Marko:4.4
ikawa alipokuwa akipanda, mbegu nyingine ilianguka kando ya njia, wakaja ndege wakaila. 
Marko:4.5
Nyingine ikaanguka penye mwamba, pasipokuwa na udongo mwingi; mara ikaota kwa kuwa na udongo haba; 
Marko:4.6
hata jua lilipozuka iliungua, na kwa kuwa haina mizizi ikanyauka. 
Marko:4.7
 *Nyingine ikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea ikaisonga, isizae matunda* .

 Wasomao maandiko watakubaliana na mm kwamba *mbegu* anayozungumzia hapa n neno la Mungu
 Nataka tuitazame mbegu hii ya kwenye miiba
 Utagundua kwamba mbegu hii au neno la Mungu linapoingia ndani ya mtu lengo kuu n kuzaa matunda Kama utakatifu kutambua majira na nyakati nk nk

Lakn nn kinatokea shetani haliondoi neno ndan ya moyo huu

Anapandikiza miiba(shuguli za kila siku za dunian hapa)

Unasema kivipi

Anakupa mishe za kufanya na unaona kabisa zitakufanya umake more money utaona kama umetoboa life mwanangu alafu hakupi muda wa kulitafakari na kulichakata neno lililoingia ndani mwako

Unajikuta ile kanuni isemayo neno likae kwa wingi ndani mwenu imegonga mwamba

Umejaza shughuli kwa wingi ndan mwako

 Unasema kesho nkitulia ntasoma na kutafakar neno

Inakuwa kesho kutwa ntaomba na kuomba

Inakuwa wiki mwezi hatimaye ndo mfumo wa maisha yako ya kila siku

 Kumbuka Yesu anarud atakuta kilaa mtu anaendlea na shughuli aliyokiwa nayo ya kila siku

 Wala hakutakuwa tangazo redion au mtandaon nooo!

Anasema wawili walikuwa wanalima mmoja anatwaliwa mwingine kabak

Wengine wanachati mmoja katwaliwa mwngne kabak anachat 

 Angalia sasa baada ya muda unajikuta umeporomoka na tuhela twako twa njaa kwa sababu msingi wake haukua kwa Madhabahu ya Bwana

Ko unajikuta umeanza kurud kwa Bwana kuomba kusoma neno sio kwa sababu unataka kumjua hapana kwa sababu unataka business zake zikae sawa unatka upate pesa tena

Mungu sio mganga tumpe heshima yake tafadhali

Angalia watu Hawa kipind cha nuhu akili zao zilikuwa zmefungwa mioyo yao inawaza kuoa kuolewa(shuguli za kawaida za kila siku) lkn muda huo huo Nuhu na watu wake alikuwa akiandaa safina juu ya hatari ijayo

Maandiko yana maana kubwa Sana kusema Wala msifuatishe namna ya dunia hii

Aliyezaliwa na Mungu ratiba zake maijra yake n tofauti kabisa na za watu wa dunian humu Kama ulikuwa hujui

MUDA wako unatakiwa kutumika kikamilifu kuandaa kesho ya kutisha ijayo

Hata Kama huwa haumin lakn umewah hata kufikria umeachwa wakat wengine wananyakuliwa

Alafu unaisubr jehanam ya Moto wa milele umewah kufikria ??

Ratiba za watu wengine ilikuwa n majira ya kuoa na kuolewa n muda was kunywa na kulewa lakn kwa Nuhu ulikuwa n muda wa kuandaa safina kutengeneza moyo sawa na agizo la Bwana

 Nikwambie tu kwamba kuna namna ambavyo akili zinapumbazwa na ibilisi tusione mapenzi na makusudi ya Mungu juu yetu hasa katika nyakati hizi za hatari

 Hata Kama mwisho utakuja miaka efu5 ijayo nnachojua n kitu kimoja mwisho was Mambo yote umekarbia iweni na akali kutengeneza mahusino yenu na Bwana kwa kuomba na kukeshaaa

2 Timotheo:2.26
 ```wapate tena fahamu zao, na kutoka katika mtego wa Ibilisi, ambao hao wametegwa naye, hata kuyafanya mapenzi yake. 
```
Maana yake n kwamba hawa watu mwanzon walikuwa na ufahamu wa neno la Mungu

Akaja shetan akaziondoa fahamu ndan mwao kwa kuachilia shuguli za dunian hapa za kawaida

Na nataka uelewe nlikuwa sielew maana yake hapa siku moja brothe angu akaanza kunipa akili

 Akasema shughuli anazozungumzia hapa Wala sio dhambi
Kwan n dhambi kufanya bishara ?
Kuoa?
 Kuolewa?
 No!

Tatzo liko hapa pale inapokuwa ya kwamba shughuli hizo zinaisonga mbegu aliyopanda mpanzi
Shughuli hizo zinachukua nafasi ya mbegu ndan mwako

Anasema hata gharika muda inakuja hawakuelewa kwa sababu walikuwa busy na shughuli zao
 *Sikilza ndugu angu!*

*Ishara namba moja ya kwamba umevamiwa na mdudu huyu hatari n kukosa Nguvu ya maombi*
Hiii ndo ishara kuu

Usirdhike na unavyosoma neno Kama gazeti
Usiridhke na unavyohubr
Au kufundsha

Kila mtu anaweza kufanya hvyo kwa sababu n Kaz nyepes Sana

 Ila *kuomba* si jambo la mchezo mchezo hiii inahitaji *kujisucrife* !

 Kama wewe siku izi kuomba n mpaka mkutane kwenye kundi ukiwa mwenyewe unaona huwezi kuna tatzo hapo

Unaona ukianza tu baba unakumbuka haujakula, hujafanya assignment wanafunzi kuna tatzo hapo

Mdudu kashaingia

Kuomba kunahitaj kujitoa

Kutokuomba nako n kujitoa kwa sababu Kuna saut kabisa inakusistiza uombe unakaza tu

Listen carefully

 Maombi ndio jambo pekee ambalo shetan hataman kulisikia kutoka kwako

 Atakuacha usome neno ila utakuwa unasoma Kama philisopher tuuy Nguvu ya neno inaonekana kwa mtu anaayeomba
 Tena si kuomba tu nazungmzia maombi serious
 Kila siku
 Kila m
Na si I'll uwe upako wa kutoa mapepo uanze kuji mwambafai noo

Maombi ya kukusogeza mbele za BWANA kuhusiana nae
 Kuwa na ushirika nae
 1 Petro:4.7
Lakini *mwisho wa mambo yote umekaribia* ; basi, *iweni na akili* , *mkeshe katika sala* .

 Tazama kwa makini hapa

Iweni na akili maarifa ya neno
 ```Baada ya hapo kesheni(kaeni hapo muda wote) mkiomba(sala)``
Mm sjui Kama Kuna mtu naongea nae apa

Sikiliza maombi ndiyo yanaweza kueleza afya ya roho yako kwa usahihi

Ukiona huna hamu ya kuomba huna muda wa kuomba huon ulazima wa kuomba that is a problem already 

Na shetan alivyo hana akili atakuruhusu uchati had da8 ucku, uchek movie had sa9 ucku ila sio kuomba dakiki10 utaziona n sawa na masaa12 waswahili wansema Kama yote aN

 *Are you prepared??*

Angalia Sana muenendo wako wa  maombi chunga Sana

Ucjifarij na clip unackilza unaanza kusikia kama upako alafu bado hushuki kupiga got kuomba that's a problem

*Guys praying is must*
Anza kuomb

 Anza Kula neno kila siku Bila kujali ratba zimekaaje
Hakikisha unapata muda unaomba unakula neno la uzima

 Weka utaratbu usome hata sura1 *tuuu* ! Kwa siku
 Kabla haujalala tafakari uliyoyasoma yachakate kwa kina hata kama yatakufanya hadi upate usingiz

The moment umeanza kuomba kusoma neno comes a time majira yako unayaelewa unaamka asubuh unajua hata Bwana akishuka hapa Nina uhakika wapi ninaendaa!

Na hakuna kitu shetan atafanya vita nawewe kama kukufanya usipate muda kuomba kufakar uliyoyasoma

Kwan semina si umehudhuria nyingi tuuy

 Ukatubu na kutubu ukalia ana kulia ukasema Bwana naanza upya naanza upya naww still ukarud kule kule

*Be serious now!*
*We don't have very much longer 

 Hakikisha Moto wa kuomba haukakitik ndani mwako

Haijalishi mazngra lazma upate muda wa kuomba
 Walawi:6.13
 *Moto utatunzwa uwake juu ya madhabahu daima; usizimike* .

 Kama tunaweza kupata watu hata watano tu ndani ya kila kanisa ambao wapo serious kuomba ndani ya mwezi mmoja shetan atageuzwa juu chini kabisa nakuambia

Kama unataka uanze kuona Nguvu ya maombi anza leo kuimba ukiwa hapo hapo unapolala Kama mazngra hayakuruhusu nenda pembeni kidogo mwambie Mungu kwa moyo wa dhati kabisa kuwa Mungu mm unajua kabisa nilivykuwa mvivu kuomba Sasa nimeamua kuanza Tena kwa kishindo nitumie kumanifest ukuu wako nitumie kuelezea ukuu wako anza kuomba na kuomba hata unapotembea sema kimoyo moyo

 Come ON! No sooner as you go on with these prayer something will be ready happening to you!

Hakuna mkato njia pekee ya kujifunza kuomba n kuomba

Sunday, December 15, 2019

UMEJIANDAAJE SIKU ILE IJAYO/ARE YOU PREPARED?

Part 1⃣
Elikado Mwasenga
  
Somo lenye kichwa umejiandaaje siku ile ijayo/ Are you prepared?

Kujiandaa kwa ajili ya mwisho wa miisho yote tuanze kwa kutazama maneno haya kutoka kwenye maandiko matakatifu,,,


 πŸ“–1 Petro:4.7
Lakini *mwisho wa mambo yote umekaribia* ; basi, *iweni na akili , mkeshe katika sala.

✝ Naomba usome kwa utulivu maneno haya

✝ NLT Bible. 1 Peter 4:7
[7] The end of the world is coming soon. Therefore, be earnest and disciplined in your prayers.

πŸ“– 1 Peter 4:7 But the end of all things is at hand : be ye therefore sober, and watchful unto prayer

Kumbuka Jambo moja maneno haya yaliandikwa miaka zaid ya efu1 na miatano ilyopita

Lakini wale walioyaandika walikuwa serious nayo kuliko watu wa kizaz hiki tulichonacho

Tutatembea Sana na kifungu hiki Roho Mtakatifu atakupa ufunuo na Siri zilizopo kwenye hiki kifungu za kukujenga

 Nianze tu kwa kusema kwamba kila Jambo huwa linakuwa na starting point yake na ending point yake

Mwisho ninaozungumzia hapa n mwisho wa miisho yoye

Yaani n muda ambapo ulimwengu wote na shughuli zake utafikia kikomo!

Nataka uone namna shetani anatumia maonyo hayo hayo ambayo Mungu ameachilia juu ya waamini kuwafanya wasione uhalisia wa kile Mungu anataka waone

Ngoja nkufikirishe kdgo

Unayaamini maandiko kwa kiwango gani??

Soma na Mimi mahala hapa alafu unjibu kwa kiwango gan unaamini maandiko na kile unachokisikia kwa watu

πŸ“– Matayo:6.33
Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.

 Nadhan wengi tumewah soma maneno haya

 Nimewahi sikia watu wanasema ukijikuta hautafuti connections unategemea tu imani huna akili lkn maandiko yananiambia hivi utafute kwanza ufalme na haki yake

 Nsiende mbali sana

 Ngoja tuanze kutazama Siri zilizopo hapa kwenye kitabu cha Petro

Jambo la kwanza ninaloliona hapa biblia inakubali kabisa kwamba mwisho upo Mimi sijui Kama wewe unaamini au haumini

Lakin maadamu tu maandiko yamesema hvyo mm nalipokea na kukubaliana nalo bila Shaka hata kidgo

Na anasema very soon n karbu mno

Kama wakati anaandika miaka efu2 ilopita alisema n soon how about today?

Sikia Jambo lingine ninaloliona hapa ni hili iweni na akili(watchful) mkeshe *KATIKA* sala

Maana yake n kwamba n majira ambayo kaama tutaenda tu katika sala au kuomba alafu hatuna akili(taarifa sahihi za NENO LA MUNGU) kuna mahala tutakwama

Maana yake pia n kwamba kadiri tunavyozidi kusogelea miisho ndvyo tunayahitaji maombi na taarifa za neno kuliko kipindi kingine chochote

Shetani kwa kulijua hili angalia alichokifanya kwa wana wa Mungu

 Alipogundua kanisa linatakiwa lishughulike na ufalme wa Mungu kwanza akapachika mahubir ya mafanikio kanisani kias ambacho Wana wengi wa Mungu wanajikuta wanashughulika na mafanikio ya kiuchumi kuliko roho zao

Kuna mtu hajanielewa sipingani na maandiko yasemayo tunatakiwa kuwa matajiri rahasha.........
 Nielewe

Namaaanisha protocol inatakiwa kuzingatiwa

Sipo hapa kuchambua dini au kanisa nakupa neno la biblia

Angalia leo hii semina unazoenda zinakuunganisha na Mungu kuandaa moyo wako kwa ajili ya hukumu?

Au zinakuandaa kukufanya kuwa tajiri lkn hawez kuongea na Mungu Wala hana mahusiano binafsi na Mungu?

kwanini unabii mwingi now days iwe ninaona gari linakuja kwako naona unajenga nyumba

 Cjakataa kuwa hayo Mungu anaweza kufanya

Lakini sitaki kukubaliana nawewe kwamba Mungu atakuletea unabii wa kununua gari na anajua hata ukifa hapo huendi mbinguni

Unasema kwann

 Angalia maandiko yasemavyo

 Kuokoka kwa mwenye dhambi mmoja ni Furaha kubwa mbinguni na jeshi la malaika waliopo kule

Umewah soma mahali maandiko yanasema kununua gar au kujenga kwa mtu mmoja n furaha kubwa mbinguni nionyeshe iyo sehemu

Nataka unielewe vzur

 Ipo hvi mafanikio ya kiuchumi nk nk yanatakiwa kuwa matokeo ya mahusiano yako na Mungu

Mpenzi ufanikiwe Kama roho yako ifanikiwavyo.

 Angalia kuna watu wanajua ahadi za kufanikishwa tu akn hana uhakika kabisa Kama Yesu akishuka hapa Leo atakuwa kwenye kundi lipi

*Are you prepared?*

*Neno linasema utafuteni kwanza!

Kwanza!

```Una uhakika Yesu ni Bwana na Mwokozi wa maisha yako?```

 ```Unao uhakika na kesho yako ukifa leo wapi utaenda?```

Anasema iweni na akili mkeshe

Na si kukesha tu lakni katika sala

You pray while watching through the revelation of truth

 _Akili_ 
 _Kukesha_
 _Kuomba_

 Soma na Mimi maandiko hayaπŸ‘‰πŸΏπŸ‘‰πŸΏ

πŸ“– Matayo:15.8
 Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami . 
Matayo:15.9
 Nao waniabudu bure,

Now days watu wanaenda kanisani sio wakasikie Mungu anasema nini juu ya roho zao wanataka kutabiriwa lini atajenga Lin ataoa  we need to go back to Anguish of God

Anasema amesikia myasemayo kwa midomo, kuimba kwenu amesikia na hana tatzo navyo shida ipo kwenye eneo la moyo kwa sababu mioyo iko mbali naye

Yaani wayasemayo na yale yameujaza moyo n vitu viwili tofauti

Yaani n waamin kwa kuonekana kwao but infact mioyo yao ipo mahali kwngne

Kuna kitu kimekaa kwenye nafas aliyotakiwa kukaa Mungu

Are you prepared?

Haujiulizi n maeneo machache Sana leo hii wamekaza kufundsha watu watafute mahusiano binafsi na Mungu?

Now days kuna mahala haina haja ya wewe kuomba kwa sababu mtumishi ataomba aje akupe unabii imetoka ?

Ukiona umekaa mahali haufundshwi kuwa na mahusiano binafsi ya Mungu mahala hapo hapakufai hapakuandai na mwisho wa miisho

Hembu tufike mahala tuanze kujua kile Mungu anataka tukiishi

Moyo wako umeuelekeza wapi?

Una uhakika Yesu ana nafasi ya kwanza?
Are you sure?

Shetan alipojua unahitaji akili ya maandiko maarifa ya neno ili upate akili za kila Aina za kichwani na moyoni akakufanya uamini haujitaji kusoma neno unahitaji unabii tu na kuombea ili utoke hapo kwenda hatua ingine
My friend tutakupoteza

Anasema iweni na akili!

Iweni makini iweni waangalifu

Kwa tafsir hiyo kuna mahusiano makubwa Sana kati ya mwisho na akili yako

Unasema kivipi angalia maandiko haya!

Matayo:24.38
Kwa kuwa kama vile siku zile zilizokuwa kabla ya Gharika watu walivyokuwa wakila, na kunywa, wakioa na kuolewa, hata siku ile aliyoingia Nuhu katika safina, 
Matayo:24.39
wasitambue, hata Gharika ikaja, ikawachukua wote, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.

Ukiyasoma vzuri maandiko haya utagundua kwamba watu wa enzi za Nuhu walikuwa wanaendelea na maisha ya kawaida ya kila siku

Kiasi ambacho kwa akili ya kawaida mtu hawezi kugundua Kama kuna jambo linakuja
Akili zimelala

Anaposema iweni na akili anajua kabisa ya kwamba kuna hatari ya kupumbazwa na kawaida ya dunia hii ukaona Kama hakuna kinacho endelea lkn infact muda upo mwishon

Sasa ili uweze kusoma majira na nyakati hizo unahitaji akili ya ziada ambayo utaipata kwa neno la ufunuo wa Mungu juu yako!

Amka amka
Naomba kwa leo tuishie hapa kipindi kijacho nitaanza kukuonesha mahusino ya hivyo vitu vitatu na mwisho wa miisho*
 ```Akili 
Kukesha 
Kuomba```

Thursday, December 5, 2019

ZIJUE SABABU ZA UGUMU UNAOPITIA

Sehemu ya kwanza 1

By Elikado Mwasenga

BWANA YESU ASIFIWE SANA!!


Na kwanini ujue haya yote kwa sababu usichokijua ndicho kitakachokuangamiza

Kumbuka yasemavyo maandiko ya kwamba watu wake MungU huwa tunaangamia tunapokosa maarifa (tunapokuwa hatujui)

Kwa maana kwamba hatuangamii kwa SABABU Mungu hana nguvu hapana tunaangamia kwa sababu hatujui kama MungU Ana nguvu huwa tunasikia tuuy!

Kumbuka hili itakuwa n faida ya nafsi yako

Nataka tu uanze kwa kutambua kwamba kila jambo linaloendelea kwenye maisha yako lipo na sababu zake

Hata ugumu ulionao una sababu na tunavyoanza kutaka kutafuta suluhisho la tatzo tunaanza kutrace sababu zake Kwanza kutokea kwenye maisha yako

Fikiria umeanza kuumwa ghafla tumbo lako likawa kwenye maumivu makali
Ukakimbizwa hospital kutafuta solution ya shida yako

Jambo litakalokushangaza n kuona pamoja na kuwa maumivu hayo makali Jambo la kwanza daktari atakuuliza maswali Jana ulikula nn, imeanza saa ngap na Mambo kama hayo

Kwanini asikupe tu matibabu moja kwa moja

Anatafuta sababu!!

Ukiona mtu anasumbuliwa na nguvu za giza, anaombewa anapona anarud kule kule tena ujue Kuna sababu

Kuna sababu

Ukiona mtu anapambana kuutoa umaskn kwa bidiii zote, mtu anapambana kuacha zinaa, mtu Ana Pambana kufaulu masomo yake na bado anashindwa,,,, tambua hili Kuna sababu

MungU mwenyewe kiiila analolifanya Kuna sababu zake

Kila analofanya Kila analolipangilia huwa Lina sababu zake

inakuwa vigumu Sana kutoka hapo kwenda hatua Bora zaid kwa kuwa tu hautambui sababu ya ugumu unaoupitia

tafuta hata akiwa amefail Jambo lolote maishan wether ameanguka kibiashara mtu ameanguka dhambin

Akilini mwake utakuta anajisemesha hata sjui kwann mafanya haya yote

sijui kwanini mimi tu

Anatafuta nini chanzo!

Na hamna kitu shetan anapenda kama ukakimbilia matokeo

Kwa sababu matokeo n Jambo la baadae

Na anajua hutakaa ukajua source ya wap imetoka na kwa hvyo utashughulika kwa nguvu nyingi n matokeo baada ya mda unarud pale pale

πŸ“– Matayo:13.54
Na alipofika nchi yake, akawafundisha katika sinagogi lao, hata wakashangaa, wakasema, Huyu amepata wapi hekima hii na miujiza hii? 

Matayo:13.55
Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda?
 
Matayo:13.56
Na maumbu yake wote hawapo hapa petu? Basi huyu amepata wapi haya yote?
 
Matayo:13.57
Wakachukizwa naye. Yesu akawaambia, Nabii hakosi kupata heshima, isipokuwa katika nchi yake, na nyumbani mwake mwenyewe. 

Matayo:13.58
Wala hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu ya kutokuamini kwao .

Maana yake Nini Yesu alkuwa na haja ya kufanya miujiza kwa lile eneo

Kwanini sababu anasema alipotambua ya kwamba hawaamini hakufanya miujiza kule

Angalia Yesu amepita mahali na mahali amefanya miujiza kbao kakausha miti,, kageuza maji kuwa divai

Sio kwamba hana uwezo kutenda miujiza ila hajatenda kwa kuwa Kuna sababu!

hata ugumu unaopitia Sasa una sababu

Nmekutana na watu wanatembea kwenye mfumo wa maisha ambayo masaa aliyofurahi yanahesabika na masaa amehuzunika ndo asilimia 90 ya maisha yao ya kila sku

Ukikutana nao utashangaa Sana hawana furaha na wanajarbu kutoka huko wakifika sehemu wanajikuta wapo pale pale

Mimi sijui ni ugumu wa aiana gani ulionao

```Ni uchumi, ni kifungo cha tabia, ni uzinzi, ni mahusiano, ni wazazi wako ni ugumu gan uliobana maisha yako kwenye angel```

sijui ni eneo gani limekuwa na ugumu lakini nataka nkuletee hapo badae sababu kadha wa kadha za kwann unapitia ugumu unaopitia

 1.Aina ya watu na Aina ya taarifa unazoruhusu ziwe sehemu ya kufanya kwako maamuzi ya kila siku

➡Nakupa mfano

Nimewahi kutana na mtu aliniambia akiwa darasa la saba aliawahi soma makala moja ikisema kama kijana ukiwa katika hatua za kupevuka njia pekee ya kukusaidia usianguke kuzini n kujichua

Na akasema alijarbu kufikr mihemko ndo imeanza kusumbua mwili wake akaona kapata msaada!

Kwel akaanza kujichua

Till then amekuwa akitembea na huo mfumo

Shida inakuja baada ya kugundua ya kuwa anafanya Jambo litakalo harbu baadae yake yoote

Na amefika level ambayo inabidi Mungu aingilie kati ili achomoke kwenye hilo tatzo

Chunga Sana unayoyasikilza

Chunga Sana unayoyatazama 

Taarfa zinazoingia ndan yako zina nafas kubwa Sana kukuinua au kukuangusha

πŸ“–1 Wakorinto:15.33
Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema .

Chunga Sana watu unaozungumza nao

Ni mambo gan mnayazungumzia mara Kwa mara

Wanakumbia wewe n hvyo hvyo huwez kutoka hapo

Mazungumzo yana nguvu ya kubadilisha tabia ya mtu

Yanauweza wa kuiharbu tabia njema ya mtu

Kuna kinds za magumu tunakuwa nazo kwa sababu tumezikarbisha wenyewe

Ugumu kama vifungo vya tabia mbaya kama zinaa, matusi, nk nk

Waulize walioenda jeshin watakuambia

Kwa sababu walkuwa tangu wanaamka mpaka wanalala wanasikia matusi tuuy lugha zao na tabia zao ghafla zkachange

Unajkuta kwa kule kutukana n normal tu kwann

Mazungumzo /taarfa znazotembea ndan mwako mara kwa mara

```Sababu zngne ntakuletea wakat mwingine uwe na wakat mwema``` 
 ```AMEN

ZIJUE SABABU ZA UGUMU UNAOPITIA 2⃣


By Elikado Mwasenga

➡ Fuatana nami katika kujifunza neno la Mungu lanye uzimA

➡ Ntaka nkuletee mwendelezo wa somo tulilokuwa nalo

 
 
➡ ```Nlikupa sababu ya kwanza inayolenga mfumo wa taarifa unazozipa nafasi ndani mwako```

Na tukaona ya kuwa kwa kiwango kikubwa Sana vitu unavyovipa nafasi kusikilza kutazama nk nk maadam tu vna uhusiano na kuingiza taarfa ndan yako na kutengeneza mfumo wa kimaamuz(Fikra)

Vina uwezo wa either kukupa hatua Bora zaid au kukurudsha nyuma

Leo nakupa sababu ingine inaweza kuwa sababu ya ugumu unapitia watu wengine wanaita jarbu

Nataka tusome maandiko kidgo

πŸ“– Warumi:3.23
kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu; 
Warumi:3.24
wanahesabiwa haki bure kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu; 
Warumi:3.25
ambaye Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho

Yatazame kwa Makin maandiko haya

Anasema dhambi ilipoingia kwenye mfumo wa maisha ya mtu kilichofuata na *kuondolewa kwa utukufu wa Mungu juu yao*

Maana yake nn utendaji kaz wa Roho wa Mungu haupo juu yao tena

Na maandiko yako waz ya kwamba alipo Roho wa Mungu ndipo penye uhuru

Anhaa maana yake ni kwamba kuondolewa kwa utukufu(mazngra sahh kwa Roho wa Mungu kutenda kaz ndan na juu yako/yangu) kunaondoa na Uhuru

Na kuondoka kwa Uhuru kunazaa  kitu kingine kinachoitwa jaribu/teso/gumu unaloanza kulipitia

Ukisoma msatari wa mbele kidgo utaona kwa huruma zake Mungu akaondoa hilo teso kwa neema yake kwa kunuweka Yesu awe upatanisho wa sisi na Mungu yaani kuurejesha utukufu wake

Swali langu linakuja kwako kwanini pamoja na kwamba tumehesabiwa haki kwa neema still tunakuna na magumu kwenye maisha yetu,,,,

Naomba uelewe vzur juu ya hili eneo anapozungumzia kuhesabiwa haki kwa neema

πŸ“– Fungua namimi kitabu cha mathayo 6

Matayo:6.12
Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu. 
Matayo:6.13
Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.] 
Matayo:6.14
Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi.

Ukisoma kwa makini maandiko haya na kutazama kile alichokisema kwenye warumi unaweza usielewe kidgo

Ngoja nkupe ufunuo wa ajabu kidgo

Kwanini nianze kuhangaika kuomba tena msamaha kwa Mungu na huku ninajua nimehesabiwa haki kwa neema

Yaaani kila kosa limefutwa kila laana haipo tena sasa kwanini niombe tena msaha??
➡ Kwanini

Mfano wewe mwanafunzi siku mkuu wako wa shule alipotangaza kila atakayepata " A" ya hisabati(mathematics) atampa zawadi alianza tu kugawa zawadi hata hamjaanza kufanya mtihani au alisubr mfanye mtihani aone matokeo ndipo agawe zawadi Sambamba na matokeo??

➡ Jibu unalo bila shaka

Pamoja na kwamba umeokoka umempa Yesu maisha yako hilo n Jambo moja kuna hatua ya ziada inahitajika

sijui kama unanielewa nnachotaka ukione hapa

haki tuliyohesabiwa hapa si kwamba haituhitaji tuombe toba mbele za Mungu hapana

Ni haki inayotupa uwezo wa kupokea msamaha kwa neema yaani tunasamehewa juu ya makosa tunayotubia japo kikawaida yalikuwa n makosa ambayo hata tungeomba msamaha tusingepata kusamehewa
➡ Hallelujah!

Kwa maana hiyo basi kuna watu tumo ndan ya yesu ila bado hatujajipatanisha naye kwa kiwango cha Yale magumu tunayokutana nayo kuondolewa

Sikia
 Anasema hivi basi msali hivi,,,,

➡ Mstari wa13 anasema usitutie majarbuni(kwenye magumu)

➡Tafakari kwa kina hapa

Unataka kuniambia Mungu hajui kama sisi tumo ndan yake tunamuamini kwanini tena tumuombe atuepushe na majaribu na huku anajua hatutaki kujaribiwa??

Na kwa bahati mbaya Sana waamini wengi hawana tabia ya kuomba ombi hili la Mungu kuwaepusha na majaribu matokeo yake n kwamba wanajikuta wanajarbiwa na kuajarbiwa

Maisha yao ni Vita Vita magumu kila leo

 Ukirsto wa namna hiyo mimi sioni raha yake hata kidgo

Mungu anataka tuEnjoy kuwa nayeye

Kwa hiyo sababu ingine inayopelekea kupitia ugumu unapitia n kwa sababu unakomaa Sana na hali yako

Wala sio mpango wa Mungu eti ukomae na hali yako kabisa sio mpango wa Mungu

Unasema kwa sababu gani unasema hivyo

Fungua na Mimi maandiko haya!

πŸ“– Matayo:11.28
 Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha .

Anataka umpe yeye masumbuko(magumu) yako mizigo yako ili upate pumnziko

Unajikuta unaanguka mara kwa mara kwenye zinaa

Unashia tu kusema leo ndo ilikuwa mwisho unajuta kabisa lakin siku mbili mingi usharud pale pale tena

Usipambane kwa nguvu zako nakwambia hutachomoka

Unapanga biashara yako unatafuta mtaji ukiaanza tu biashara hiyo haiana soko tena

Wala mbinu 12 za kuwa tajir ulizoziona YouTube hazitosh kukutoa hapo kuna nguvu ya ziada ya kiroho unahitaji

Kwa Nini umtwike yeye masumbuko na mizigo yako jibu hili hapa

πŸ“– 1 Petro:5.7
 ```huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu.```


Saturday, November 9, 2019

KWA NINI MUNGU ANATAKA TUENENDE KWA ROHO?


Sehemu ya 2

....... Tuendelee tulipoishia

➡ Tuliona sababu kadhaa za Kwann Mungu anataka tuenende kwa Roho

➡Sababu inayofuata

2⃣ ili atusidie kuomba yale tunayotakiwa kuyaomba kwa wakati huo

📖Warumi 8:26
kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua   kusikoweza kutamkwa

➡ Tafsiri yake ni kwamba kuomba sio tatzo

➡ Unaweza ukaomba na ukaomba vbaya

➡ Au isivyokupasa

➡ Sasa kuendenda kwa Roho inakupa upako wa kufanya Maombi ambayo Mungu akiyasikia anakuwa na priority namba moja kuyajibu

➡ ```Udhaifu unaozumgumziwa ni wa namna  mbili
moja si rahisi kwa jinsi  ya  mwili kuomba kwa muda mrefu kwa sababu mwili ni dhaifu na
pili udhaifu tulionao ni kushindwa kuomba jinsi inavyotupasa kuomba.
```
➡ Ma hapa tunatakiwa kujiuliza swali namna ipi tunatakiwa kuomba kwa usahihi/Au itupasavy0 Ni kivipi

➡ Sasa  tunapoongozwa na Roho, maana yake moja anatusidia tuweze kuomba na zaidi anatufundisha namna ya kuomba  na kutuongoza  yapi tuyaombee kwa wakati huo  au kipindi hicho

➡ Mfano wewe unaweza ukawa unaomba upako wa Roho Mtakatifu katika huduma na yeye  Roho Mtakatifu, anajua kwamba  ameshakutia mafuta  na shida uliyonayo ni kutokujua namna ya kushirikiana na upako wake ulio juu yako. Hivyo yeye atakuongoza kuomba kwa habari ya kushirikiana  na upako aliouweka juu yako. Kwa  kifupi yeye kwa sababu ndiye mwenye maisha yako atakuongoza siku zote kuomba yale unayotakiwa kuyaomba kwa majira hayo iwe kuhusu masomo, ndoa, kanisa, nchi n.k.

3⃣ ili atuongoze katika kufanya maamuzi sahihi juu ya Maisha yako

📖 2Wakorinto 3:17
Basi Bwana ndiye Roho, walakini alipo Roho  wa Bwana, hapo ndipo penye  uhuru

➡ Uhuru wa nin Uhuru wa kimaamuzi unakuwa na free mind

➡ *Undirstubled mindset*  unakuwa unaamua huku ukiwa unatambua matokeo ya ulichokiamua

➡ Hauamui kwa sababu ya pressure yoyote,,si kwa sababu uingne eyote mbali na muongozo wa Roho kuamua uamuavyo

➡ pia ukisoma warumi 8:1-2 inasema 
*sasa, basi hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu, kwa sababu sheria ya Roho wa uzima  ule ulio katika kristo Yesu imeniacha huru, mbali  na sheria ya dhambi na mauti*
  kwako

➡ kufanya maamuzi ni sehemu  ya maisha ya mwanadamu
Yapo  maamuzi  mengi sana  ambayo mwanadamu anatakiwa kufanya na hawezi kukwepa kuyafanya

➡ Sasa Mungu kwa kulijua  hilo ametupatia Roho Mtakatifu ili atusaidie katika kufanya  maamuzi

➡ Roho Mtakatifu anapokuwa Bwana   kwako, yaani  mtawala, kiongozi ndipo anapokupa uhuru juu ya kufanya maamuzi katika maisha yako

➡ Maana yake ulikuwa hujui nifanye nini? Niamueje ? Sasa yeye anakuletea uhuru ndani wa  kufanya jambo ambalo anajua ni la mafaniko  kwako
Kumbuka siku zote nia ya Roho ni uzima na amani

➡*```Huenda ziko sababu nyingi ni kwa nini unatakiwa uenende  kwa Roho, lakini hizi tatu ndizo Mungu alizonipa tuweze kushirikiana kujifunza. Ni imani yangu kwamba utakapoamua kutaka na kupenda kuongozwa na Roho ndipo utakapoona Mungu akijifunua```*

Ubarikiwe kwa kufwatilia somo 🙏🏿

KWA NINI MUNGU ANATAKA TUENENDE KWA ROHO?

Sehemu ya 1⃣

➡Ni wazi kabisa ya kuwa Mungu ako na mpango madhubuti na kila mwamini na Kuna mambo ambayo anataman yatokee maishan mwetu

➡Na moja ya mikakati aliyoiweka n kutupa namna tunavyotakiwa kuishi yaani kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu

➡ Tazama  maandiko haya

➡ Ukisoma katika warumi 8:14 Biblia inasema
kwa kuwa wote wanaoongozwa  na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu
na pia Paulo kwa wagalatia anasema Basi nasema Enendeni kwa Roho,wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili Wagalatia  5:16.

➡ Anapotaka tuongozwe na Roho Mtakatifu anajua Kuna faida tutapata

➡Vinginevyo Kuna ugumu tutakutana nao mbele ya safar

📖 Wafilipi:1.6
```Nami niliaminilo ndilo hili, ya kwamba yeye aliyeanza kazi njema mioyoni mwenu ataimaliza hata siku ya Kristo Yesu;
```
➡ Usitake Mungu atembee nawewe wakat uko na shida ikiwa wakat haukuwa na haja hukutaka kutembea nae ni kosa

➡ Usitake Mungu amalize mwendo nawewe wakati hakuaanza nawewe ni kosa

➡ Hapa tunaona jinsi Paulo anavyosisitiza kwa makanisa ya Rumi na korinto kuhusu suala zima la kuongozwa  na Roho  Mtakatifu. Anawaambia warumi kwa  kuwa wote wanaongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana  wa Mungu maana yake haijalishi  ana umri gani, ni wa dhehebu gani, jinsia gani maadamu anaongozwa  na Roho wa Mungu huyo ni mwana wa Mungu na bado anawaagiza wagalatia akisema Basi nasema  enendeni   kwa Roho………….. anaposema enendeni maana  yake  mkiongozwa  na Roho, au mkimfuata  Roho katika yale anayowaagiza.

➡Kwa tafsiri hiyo swala la kuenenda kwa Roho sio la kiongoz wako wa fellowship, mchungaji, bishop, chair

➡ No ni la kila mwamini ndani ya kanisa
➡Ni la kwako

➡ Na hatuongozwi tu tunapotaka kububiri tunapotaka kufundsha , ni Zaid ya hapo

➡ Ni swala ambalo linatakiwa kuwa mfumo halis wa maisha yako ya kila siku

➡ hata vitu vdgo vdgo ambavyo unafikiri havihitaji muongozo tafuta muongozo

➡ Anaposema enenda maana Yake utembee kwa kufuata malekezo

➡ Unataka kuoa muulze yeye unataka kusomea nn muulze yeye unataka kuacha iyo Kaz muulze yeye

➡ Anajua unachotakiwa kufanya kuliko unavyotaka na kutarajia kufanya

➡ zipo sababu za msingi  kwa nini tunatakiwa kuongozwa  na Roho  sasa hapa sizungumzii kazi za Roho mtakatifu najua zipo kazi nyingi anazozifanya Roho Mtakatifu lakini mimi nazumgumzia sababu za kuongozwa  na Roho Mtakatifu, ambaye ndio agano jipya la Mungu kwetu

📖Tazama  yeremia 31:31
➡ katika hiyo Yeremia Neno linasema
Angalia siku zinakuja asema Bwana nitakapofanya  agano jipya na nyumba ya Israel....
Sasa ukiendelea kusoma mistari inayofuata utaona anazungumzia habari za *kutia sheria yake katika mioyo ya watu*

➡ Sasa hili ndilo agano jipya la Mungu pamoja na wanadamu
Sasa usipojua kwa nini unatakiwa kuongozwa na Roho na siyo akili zako, au mazoea, au taratibu za kwako n.k. hautajua umuhimu wa kuongozwa na Roho Mtakatifu
na pili hautaona sababu za kuongoza na Roho Mtakatifu

➡lengo la ujumbe huu ni kukufundisha sababu za msingi  za kwa nini unatakiwa kuongozwa na Roho Mtakatifu
na siyo akili  zako au mawazo yako
```Sasa  tuangalie sababu hizo za msingi```

➡ Moja,,,,ili  tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu na kuyapokea mambo ya Roho na Mungu.

➡Iwakorintho 2:12 inasema Lakini sisi hatukupokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, *makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa  na Mungu*

➡ na ule wa 14 unasema
Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei  mambo ya Roho wa Mungu maana kwake huyo ni upuuzi, wala *hawezi kuyafahamu kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya Rohoni* . Unapoongozwa  na Roho Mtakatifu ndipo anapokusaidia kujijua wewe mwenyewe vizuri.

➡Anaposema  upate kuyajua yale ambayo Mungu amekupa katika maisha yako Ana maanisha maisha yako

➡ Juzi nmekueleza Kuna watu hawajui wanataka nn maishan mwao hawajui wafanye nn na maisha yao

➡Roho Mtakatifu anapokuja ndani yako anaanza kukupa elimu ya kufunuliwa kwako binafsi unaanza kujilewa

➡ Kuna watu hawajiheshimu kwa sababu ambazo hata wao hawazijui
➡ Kuna mtu anaona hawez kufanya maamuzi sahh bila ya fulan na hajui kwann yupo ivo

➡ ```Nakuombea Sasa katika jina la Yesu uanze kuweza kufanya maamuzi bila ya fulan```

➡ Huo n udhaifu

➡ Anapoamza Roho Mtakatifu kukuongoza ukaenenda kwa Roho my God my Lord maamuzi yako yatakuwa yanashangaza wengi

➡ Roho mtakatifu atakusaidia kujua aina ya vipawa  ulivyonavyo, karama za Rohoni ulizonazo, huduma ulizonazo kama umeitwa huko, atakusaidia kujua vizuri unaweza kufanya  nini na nini  huwezi, kipi ufanye  na kipi usifanye, atakusaidia kujua baraka zako za kiroho  na kimwili pia

➡ Infact anakusidia kulijua kusudi   la Mungu katika maisha yako

➡Anakujuza n vipi ufanye ili uweze kulifikia hilo kusudi na zaidi  atakupa upako/ nguvu za kuweza kuyapokea yale yote anayo kuagiza ili uweze kulifikia kusudi lake kwako na kuzirithi baraka zako

➡ Angalia  kitabu hiki Cha zaburi

📖katika zaburi 32:8  anasema *“Nitakufundisha  na kukuonyesha njia utakayoienda nitakushauri, Jicho langu likikutazama*

➡ Binafsi nataka jicho lake linitazame linipime mienendo yangu ya kila siku

➡Nataka anionyeshe njia ya kuiendea nataka anishauri

➡ Kwa le0 naomba tuishie hapa tutaendelea wakati ujao

Wednesday, October 30, 2019

Kwanini unapoteza Hamu/kiu juu ya Mambo ya MUNGU (Maombi, Neno, Mafundsho nk)


Jambo la kwanza nataman ujue Kuna kiwango Cha kutumila kwa Mungu huwa c rahsi kukifikia Kama kiu yako imedumaa haiongezeki
Isaya:55.1
Haya, kila aonaye kiu, njoni majini, Naye asiye na fedha; njoni, nunueni mle; Naam, njoni, nunueni divai na maziwa, Bila fedha na bila thamani.
Matayo:5.6
Heri wenye *njaa na kiu* ya *haki* ; Maana hao *watashibishwa* .
Mtu anakuwaje na kiu ya haki mtu anakuwaje na njaa ya haki

Na anaposema wanashibishwa anataka kutuambia nn
Moja ya vitu nlivyoviona kwenye hili eneo n hili

Swala la kushibishwa s jukumu lako Ni la Mungu
Ndio maana hasemi watashiba,!
Lakn hawashibishw tuuy kitu yoyote wanashibishwa kile walicho na kiu nacho

Na swali la muhimu kujiuliza n nn kinawapa watu kuwa na kiu ya walicho na kiu nacho Ni Nini

maana Yake n kwamba Kuna mazngra ambayo huwa yanasukuma mtu kuwa na kiu na njaa ya haki

Akiwa na maana Kuna watu hawana kiu na njaa ya haki
Na Kuna uwezekano wa kuwa na njaa na kiu ya zinaa na kuwa na njaa na kiu ya upako

Hiyo sio shida kwa sababu tunayaona yapo pengne unae Soma n miongon mwao
Kwann watu wanakuwa na kiu ya mambo mengne mbal na mambo ya Mungu kwann

hapa Anasema baada ya kuona una kiu ndo uende
Kwa maana kwamba ukienda na hauna kiu haitakusaidia
Kwa sababu Shiba inayotolewa n specific na selective

Ukiona kiu ya haki unashibishwa iyo,, ukiona kiu ya upako unashibishwa iyo nk nk
No wonder waonao kiu ya zinaa shetan anadeal nao kisawa sawa
Sababu za kutokuwa na hamu ya kiu ya mambo ya Mungu
Luka:6.45
......... ; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake.
Si tu kwamba kinach0 ujaza moyo uwe na uhakika Kuna mda kiliwahi kuingia
Kwa sababu hakiwez kujaza Kama kilikuwa hakiingii

Kinajaa kwa sababu Kuna mda huo moyo ulkuwa tupu bila ya hicho kinachouzaja
Kwa lugha nyepesi kunaweza kuwa na neno ndani yako lakn silo lililokujaa yaaNi halipo kwa wingi

Na ndio maana maandiko yanasema neno likae kwa wingi
Kwa maana hiyo basi

1⃣ sababu ya kwanza n kwa sababu haupokei taarifa za mambo ya Mungu Mara kwa Mara Kama unavyopokea taarifa ya hivyo vilivyo ujaza moyo wako sasA!
Yaaan unaruhusu mambo ya ovyo ovyo tuuy kuingia ndan yako badala ya Yale ya Mungu
Unaruhusu movie zishape maisha yako unaruhusu mitandao ya kijamii iyashape maisha yako
Kwa mfumo huo iyo kiu ya mambo ya Mungu huwez kuipata
Una kuwa na kiu ya zinaa kwa sababu ya tabia yako kwa asilimia kubwa

2⃣ Haujawa serious na Mungu bado ,,
Hapa Kuna mtu anaguna

Naasema ivi kwa sababu Haujawa serious na Mungu bado
yaan Mungu kwako bado n Jambo la kawaida
Mungu kwako Ni swala la ziadA Sana
Kia's kwamba hata usipochukulia maanani haikusumbui

Kwann Haujawa serious?
Kwa sababu unafikri Mungu Ni hadithi ,,,
Kwa sababu unafikri wewe n mjanja Sana kwa kuwa na likes nyingi Facebook, Instagram

Na ndio maana ukiweka picha Facebook ikawa na likes chache unateseka ndani yako kuliko hata ukishinda ibadani
Ndo maaana narudia kusema bado Haujawa serious na Mungu

3⃣ Hauna mwelekeo wa maisha yako binafsi
Maisha yako ya kila siku yanategemea matukio ya siku iyo yamekaaje

Ukiona mazngra yanasema Leo Kuna udaku unabishaniwa kwa mtandao unakaa huko siku nzima

Ukiona Kuna watu wanafanya hiki na wewe umo nao siku nzima

Hujaweka mipaka ya siku yako iweje na nn ukifanye na kipi usikifanye

Haujui unakoenda haujui unakotoka

Haujui unataka Nini maishan mwako

haujui hautak Nini maishani mwako iyo kiu ya Neno na mambo mengne ya Mungu inatoka wapi kama si kuleta utani huko

YAJUE MAPENZI YA MUNGU JUU YA KUUMBWA KWAKO


➡Namshukuru Mungu kwa kunipa kibari cha kutumika katika madhabahu hii
Mungu akuhudumie vile alivyokusudia
➡ Tukisoma kitabu cha Yohana Sura ya 4 na mstari ule wa 23 hadi 24

📖 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
Yohana 4 :23
📖Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
Yohana 4 :24

➡ Katika mstari wa 23 tunaona Yesu alipokuwa akizungumza juu ya wakati na majira yatakayofika katika maisha ya watu yatakayowapasa watu kufikia katika hatua ya kumuabudu Mungu katika *Roho na Kweli*

,➡ Na kwa tasfiri hii inatufahamisha kuwa kama kuna kuna kumwabudu Mungu  kuliko  katika Roho na *kweli*(halisi) basi kuna namna nyingine ya kumuabudu Mungu kusiko katika Roho na *Kweli( *halisi* ) yaani kusiko halisi

➡ Na tunaona Yesu akizungumza zaidi kuwa hayo majira ambayo anayazungumzia ya kuwa yamekwisha kuja sasa yapo maana yake haya majira ninayozungumza na wewe ndio majira ambayo Kristo alikuwa akiyazungumzia katika kitabu cha yohana

➡ Haya ndio majira ambaya yanatupasa kumwabudu Mungu katika *Uhalisi* (roho na kweli) hakuna majira tunayoyatarajia zaidi ya haya
Usije ukafikiri kuwa kuna majira mengine zaidi ya haya

➡ Kwa hiyo Yesu alipokuwa anasema kuwa katika majira jayo itawapasa waabuduo kumwabudu Mungu katika *Uhalisi* ( roho na kweli)
Maana yake kuna namna fulani ambayo ilitumika katika kumwabudu Mungu ambako siko *halisi*

➡ Kumwabudu Mungu katika roho na kweli(halisi)
Unakuwa na mfumo fulani wa maisha ambayo Mungu anataka uwe au unakuwa na maisha ya kumpendeza na maisha yampendezayo Mungu ni yale yalio katika mapenzi yake

➡ Kwa hiyo kumwabudu Mungu kama apendavyo yeye huko ndiko kuabudu kuliko halisi

➡ Kwa hiyo ili uweze kumwambudu Mungu katika roho na kweli( *halisi* ) lazima utafuta kwanza kujua kuwa kumwambudu Mungu kuliko halisi kukoje
➡ Katika mstari huu biblia inatuambia juu ya kumuabudu Mungu katika roho na kweli yaani kuliko halisi
✍ hauwezi kumwabudu Mungu katika roho na kweli kama hautajua iyo namna ya  kweli ikoje,
Hautaweza kumwabudu Mungu katika Uharisi kama hautajua uhalisi huo ni upi

➡ Kumbuka hapa mwanzo nimesema kuwa *Mapenzi ya Mungu ndio uhalisi wenyewe*
➡ Yaan uweze kufahamu huo uhalisi wenyewe ukoje
➡ Lakini pia ukiangalia katika ule mstari wa 23
Biblia inatuambia kuwa Mungu anawatafuta watu kama hao wamuabudu

➡ Ko ili uweze kufikia katika hatua ya kumuabudu Mungu katika uhalisi( roho na kweli) *ni Muhimu kwanza uyajue mapenzi ya Mungu juu yako*

➡ Kumbuka somo letu ni juu ya kuyajua mapenzi ya Mungu juu ya kuumbwa kwako

➡ Ko haya ni majira ambayo Mungu anatamani kuwaona watoto wake(watu wake ) wakifika katika hatua ya Kumuabudu yeye katika Mapenzi yake

➡Mungu anatamani tuyafahamu mapenzi yake juu ya maisha yetu ili itusaidie kumuabudu katika roho na kweli

➡Mungu anatamani kuwaona watu wake wakiishi katika viwango ambavyo alivikusudia katika maisha yao
➡ Ukiyajua mapenzi ya Mungu  itakusaidia kumuabudu katika uhalisia anaouhitaji

➡ Kwa nini Mungu aliruhusu wewe uzaliwe wakati kuna wengine mimba zao ziliaribika tangu wakiwa tumboni mwa mama zao

➡ Na wengine baada ya kuzaliwa tu hawakupata nafasi ya kuishi kama ulivyoishi wewe hata siku ya leo

➡ Na pengine wewe umezaliwa ukiwa na ulemavu na wengine wamezaliwa wakiwa na viungo vyote!

➡Na pengine umezaliwa na viungo vyote na wakati huo huo tena yawezekana katika kipindi hicho hicho na mahali hapo hapo kuna wengine wamezaliwa wakiwa na upungufu

➡ Kwa nini Mungu aliruhusu uzaliwe hivyo ulivyo haijarishi ni nanma gani uko lakini kwa nini Mungu ameruhusu uwe hivyo

➡ Kwa nini Mungu ameruhusu uzaliwe na uishi  katika hilo eneo ambalo upo
Kwanini Mungu ameruhusu  uwe mtanzania kwa nini usiwe mchina? Na wengineo ukazaliwe katika maeneo mengine?

➡ Haya ni maswali ambayo natamani uyaweke katika ufahamu wako na uendelee kujiuliza wakati tunaendelea na somo hili

➡ Kwa hiyo ukiwa na maswali ya namna hiyo katika ufahamu wako itakutengenezea kiu ya kutaka kujijua wewe ni nani na ni nini mapenzi ya ya Mungu juu ya maisha yako

➡ Kwa nini Mungu alikuumba wewe kwa namna hiyo ni nini sababu ya kuubwa kwako???

➡ Mungu hawezi akakufunulia hayo kama wewe hautakuwa na kiu na shauku ya kutaka kuyajua

➡ Tukisoma katika kitabu cha mwanzo sura ya kwanza kuanzia mstari wa kwanza tunaona Mungu namna alivyokuwa katika uumbaji wake aliumba vitu vingi kwa neno lake na vikawa alitamka Anga
,Nuru ,wanyama,mimea,ndege,na vitu vingi sana alivyoweza kuvitamka na  vikawa kama alivyotamka
➡ Ngoja nikupitishe mahala fulani

➡ baada ya vile vitu Mungu alitamka kutokea kwa namna ambayo Mungu aliitamka tunaona Mungu akaingi katika hatua ya kumuumba mwanadamu
➡ Angalia kitu kilichoendelea hapo

➡tunaona Mungu alipofika katika hatua ya kumuumba mwanadamu biblia haituambii kwamba Mungu alimtamka  mwanadamu

➡ *Kwamba Mungu akasema na awe mwanadamu  na akawa* hapana bali Biblia inatuambia kwamba Mungu alipofika katika hatua hiyo kwanza aliitisha kikao cha halmashauri yake

➡ Na kuwasilisha mpango wake Na akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu na kwasura  yetu

➡ Ebu tusome maandiko kidogo
📖: Mungu akasema, Na *tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu;* wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mwanzo 1 :26

➡ Na tukisoma katika sura ya pili na ule mstari wa saba

📖 *Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.*
Mwanzo 2 :7
➡ Tunaambiwa kuwa Mungu alimfanya Mtu maana yake kulikuwa na kaprocess fulani katika uumbaji wa mwanadamu ambako hakakufanya katika uumbaji wa kitu chochote

➡Maana yake Mungu alitafuta mahali penye udongo mzuri , akaufanya kuwa mbichi,akamuundia  huyo mtu mwili utakao mbeba ,akapulizia pumzi ikawa nafsi hai kisha akamuweka huyo mtu aliyefanana naye

: ✍ *Kumbuka mwili wako sio wewe bali mwili ni chombo kilichokubeba wewe*

➡Ko tunapokuzungumzia wewe hatuuzungumzii mwili wako ndio maana mtu akifa tunasema fulani katutoka japo mwili wake tunakuwa nao
Mfano raisi wa kwanza  wa taifa la tanzania tunasema amekufa na tunamuadhimisha kila mwaka lakini mwili wake tunao mpaka leo

➡ Nimekupitisha hapo ili uone jinsi ulivyowathamani kubwa sana isiyoweza kukaribiwa na kitu chochote duniani

➡ nini maana ya maneno haya maana yake Mwanadamu alikuwa na nafasi/thamani kubwa kuliko kitu chochote ambacho Mungu alikifanya katika ulimwengu uliopita ,uliopo na hata ujao hakuna kitu chochote kitakachofikia thamani ya mwanadamu

✍kabla Mungu hajamuumba mwanadamu  alipokuwa akilitoa wazo lake juu ya uumbaji wa mwanadamu tunaona kulikuwa na sababu iliyomfanya Mungu amuumbe mwanadamu

➡ Baada ya Mungu kuumba ulimwengo na vitu vyake na kuona kuwa ni vyema
Ndipo likatokea wazo la kuumbwa kwa Adam

📖 Mungu akasema, Na *tumfany:e mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu;* *wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa* *kitambaacho juu ya nchi* .
Mwanzo 1 :26

➡: Kwa hiyo kumbe mwanadam aliumbwa na kupewa jukumu la kusimamia kila kitu ambacho Mungu alikiumba

➡: Katika huu mstari tunaona Mungu anapsema tumfanye mtu ameambatanisha na majukumu ya huyu mtu anayetaka kumuumba

➡ Kwa hiyo kumbe tunaona mwanadamu kuwa aliubwa kwa makusudi maarumu ya Mungu

➡: Kwa hiyo katika kila maisha ya mwanadamu yeyote kuna makusudi ya Mungu juu ya uumbaji wake

➡: katika sura ile ya kwanza kitabu cha mwanzo mstari ule wa mwisho tunaona kuwa Baada ya Mungu kufanya kila kitu na kumfanya huyo mwanadamu na kutoa amri ya kuzaliwa kwa mwanadamu mwingine
Biblia yangu inaniambia kuwa Mungu aliona ni vyema

📖 *Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.*
Mwanzo 1 :31

➡: Mungu aliona vema kumuumba mwanadamu
Hata leo bado Mungu anaonavema kukufanya wewe
➡: Mungu anaona vema kuumba wewe kaka
Mungu anaonavema kukuumba vema wewe Dada

➡: Mungu anaona vema kukuruhusu uzaliwe katika familia hiyo ,Mungu anaona vema uzaliwe katika hiyo jamii,eneo/mkoa na wilaya uliyezaliwa
*Ooh halehuyaaa*

➡: Sisi ni wanadamu na yeye ni Mungu ni mkuu sana hajawai kosea hata kidogo kwa hiyo Mungu kukufanya wewe hajakose mtumishi ameona ni vema
➡ Ni vema wewe kuwa binti
Ni vema wewe kuwa kijana wa kiume ni vema ni vema

➡ Mungu kukuruhusu aliona kuwa ni vema na aliona kuwa unafaa kabisa kuwa katika familia hiyo na mahali hapo ulipo

: 😢 Wako watu wanakaa na kumlaumu Mungu kwa kuruhusu wazaliwe katika familia hapana usimlaumu Mungu

➡ Unadhani kwa nini anaona vema
Kuna mapenzi / makusudi yake ndani ya maisha yako

➡ Sikiliza mtumishi Hiyo haimpi shida Mungu bado anamakusudi na wewe
Bado anamakusudi na wewe

➡ Haijalishi kuzaliwa kwako kulikuwaje
Yawezekana mimba yako ilipatikana kwenye uzinzi,
Yawezekana ilipatikana kwa waganga na mizimu ya mababu wa ukoo

➡ Mungu anakuhitaji anatamani uyafahamu mapenzi yake kwako ili aanze kuyatimiza

➡ Lakini pia wakati tunaendelea kujifuza somo hili la KUYAJUA MAPENZI YA MUNGU

➡Ni muhumu pia ukaweka maswali katika ufahamu wako

➡ Sasa tuendelee na sehemu nyingine tujifunze zaidi

➡ Kwa nini niyajue mapenzi ya Mungu?,
Kuna umuhimu gani wa mimi kuyajua mapenzi ya Mungu?,
Kitu gani kinatokea mtu akiyajua mapenzi ya Mungu?
➡ maswali haya yanaweza kukutengnezea au  yakakuongezea shauku ya kutaka kujua zaidi

➡ Sikiliza mwana wa Mungu

📖Biblia inaposema *imewapasa* kumwabudu Baba katika Roho na kweli

➡Hili neno imewapasa maana yake hakuna namna ya kukwepa ni lazima ufanye hivyo

➡ Suala la kuyajua mapenzi ya Mungu katika maisha yako ni jambo la muhimu sana kuliko unavyofikri

➡ Na kwa sababu hatuwezi kumuabudu Mungu katika uhalisi kama hatuta yajua mapenzi yake kwetu basi Kuyajua mapenzi yake pia ni lazima sio ombi

➡ Sikiliza
Mungu kukuumba hivyo ulivyo hajakosea bwana ni sahihi kabisa haijalishi ni mazingira gani umezaliwa nayo
➡Kwa hiyo suala la kumuambudu Mungu katika roho na kweli sio ombi hauna chaguo la kupinga hapana ni lazima

➡ Yawezekana ulizaliwa katika familia ya machifu
Pia yawezekana ulizaliwa katiaka familia ya waabudu mizimu au yawezekana ulizaliwa katika familia ya kimasikini

➡ Kuna Ka usemi mmoja wanasema hivi kuzaliwa masikini sio shida ila ni tatizo kufa masikini
➡ Hiyo haimzuii Mungu kufanya yakwake

➡ Yawezekana Mungu alikuweka katika jamii yenye watu waliojaa shida na matatizo mbali mbali ili wewe ndi  uwe mtatuzi wa matatizo yao lakin kwa sababu haujui nawew una ungananao kulala mika

➡ Uanze kuona na kutembea katika  viwango ambavyo Mungu amekusudia juu ya maisha yako

➡ *Aiseeh ufahamu wako ufunguke siku ya leo kwa jina la Yesu Kristo*

➡ Kwa hiyo kila mwanadamu hajazaliwa kwa bahati mbaya yapo mapenzi ya Mungu juu ya maisha yako

➡ Lakini kama ungetambua mapenzi ya Mungu kwako ni yapi usingeishi maisha ya kawaida usingejichukulia kiwepesi wepesi

➡ Kuna watu wanaishi yaisha yasiyo yao sio ambayo Mungu alikusudia uyaishi ila kwa sababu haujui maisha yako halisi ni yapi umelidhika na maisha hayo
Umeridhika na hatua na viwango hivyo hivyo ulivyonavyo

➡Ungejiona kuwa ni mtu wa thamani sana katika dunia hii,katika familia yako,katika kikundi chako kanisani na maeneo mengine tena ungetamani kuwa ungewahi kuzaliwa
Wewe 👉

➡ Lakini kwa sabubu haujui unaona kama maisha unayoishi ndio ya kwako
Ati Mungu ndivyo alivyopanga
At maisha ndio haya haya

➡ Kama ungefahamu jinsi Mungu anavyokutarajia usingesema maneno haya katika kinywa chako

➡ *zinduka katika hivyo vifungo kwa jina la Yesu Kristo*
Na uyafahamu Mapenzi ya Mungu juu yako
➡ Sasa Utajiuliza *ninawezaje kufahamu Mapenzi ya Mungu kwangu*

➡: Sikiliza nikwambie  Kitu mteule

➡ Ukitaka kujua vizuri kazi au maana sahihi ya kitu furani ni  lazima kwanza umtafute yule aliyetengeneza hiyo kitu ndio akupe matumizi halisi ya hicho kitu

➡ Vivyo hivyo Wewe ni Mwana wa Mungu
Na Mungu ndiye muumbaji wako,ndie aliyekutengeneza wewe kwa hiyo yeye ndiye anayotafriri sahihi ya wewe.

➡ Nikitaka kujua kazi ya wewe ni lazima nimuulize aliyekutengeneza wewe ndio nipate kujua kazi na umuhimu wa wewe

➡ Kwa hiyo ili nijue mapenzi ya Mungu kwangu lazima niende nikamuulize Mungu mwenyewe ndiye aniambie kwa nini aliniumba ni nini sababu ya kuumbwa kwangu

➡ Kwa tafsiri hii Mungu ndiye anaye jua mapenzi yake kwako
Ndiye anayetua tafsiri sahihi ya kwako

➡ *We have to ask the lord who am i and what is my purpose*
➡ *What am borning for*
➡ *What am here for*

➡ Watu wengi tunaomba maombi mengi na magumu mbele za Mungu lakin tunasahau kuuliza Mungu *who am i* tusahau kumuomba Mungu kuwa atupe tafsiri sahihi ya maisha yetu

➡ Na kwa sababu haumulizi Mungu ili akuelezee wewe kwako shetani anatumia nafasi hii kupitisha watu katika maisha yako watakao kuelezea wewe tofauti watakaokupa tafrisi tofauti kabisa

➡ Yaan kama usipompa nafasi Mungu ya kukutafsiri wewe shetani anachukua nafasi hio kukutasfiri wewe tofauti na mapenzi ya Mungu

➡ kama hautajua wewe ni nani na ni nini makusudi ya wewe kuwepo shetani atakuletea tafsiri itakayokuelezea wewe tofauti na Mungu alivyotaka

➡Na anaweza akatumia watu wa karibu kabisa anaweza akawa mzazi wako au hata kiongozi wako wa kanisa kukuletea tafsiri tofauti

➡ Yawezekana Mungu kakuumbia Wewe katika Eneo la uchumi  kuwa mwana uchumi mzuri utakayeisaidia jamii na kanisa lake

➡ Ila kwa sababu haujui Shetani anasogeza watu wenye tafsiri tofauti

➡Utasikia wakisema
wewe unaonekana una karama ya uchungaji au unaonekana kama mchungaji itabidi ukasomee uchungaji na inawezekana na kukusomesha wakakusomesha lakini kwa sababu haujui ni nini mapenzi ya Mungu kwako unaona ni kama Mungu ndio kawatuma kwako

➡Lakini kumbe ni tafsiri ya shetani kwako unajikuta unapoteza kusudi la Mungu kwako

➡Na haijalishi ni mambo gani unafanya au ni wapi unapita yawezekani ni mazuri kabisa lakin shida iko hapa je ni mapenzi ya Mungu kwako kwa wakati na majira hayo?

➡ Ni kweli ni muimbaji na unamtukuza Mungu katika uimbaji lakini je ni mapenzi ya Mungu wewe kuwa muimbaji
Ni kweli ni mchungaji na watu wanakupenda lakini je ni mapenzi ya Mungu wewe kuwa mchungaji

📖 *Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana.*
1 Wakorintho 12 :7

*8 Maana mtu mmoja kwa Roho apewa neno la hekima; na mwingine neno la maarifa, apendavyo Roho yeye yule;*
1 Wakorintho 12 :8

*9 mwingine imani katika Roho yeye yule; na mwingine karama za kuponya katika Roho yule mmoja* ;
1 Wakorintho 12 :9

*10 na mwingine matendo ya miujiza; na mwingine unabii; na mwingine kupambanua roho; mwingine aina za lugha; na mwingine tafsiri za lugha* ;
1 Wakorintho 12 :10

*11 lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye* .
1 Wakorintho 12 :11

➡Kuna watu Mungu amewapa maarifa wengine hekima yatakayoweza kuisaidia jamii ,familia,na kanisa

➡Sisemi ni vibaya kuwa muimbaji hapana lakini je ni mapenzi ya Mungu Wewe kuwa?

➡Na kanisa linawategemea sana hawa watu lakini kwa sababu hatujui tumekimbilia katika maeneo mengine
Uchungaji,unabii,utume,uimbaji nk

➡Ni mapenzi ya Mungu wewe kuwa hapo ulipo

➡ Ni Muhimu sana kutafuta mapenzi ya Mungu kwanza katika kila jambo unalotaka kulifanya

➡Kabla haujafanya jambo ebu Muulize Mungu kuwa Je ni mapenzi yako Mungu mimi nifanye hili

➡Mungu alituumba ili tuishi katika maisha yake yaani mapenzi yake

➡Tafuta kuyajua Mapenzi ya Mungu kwako
Na ukijujua wewe ni nani itakusaidia pia kujua unatakiwa kufanya nini na kwa wakati gani  Itakusaidia kujua kusudi la kuumbwa kwako

➡ Kuna vitu hautaruhusu vipite katika maisha yako
Kuna aina ya Mambo hautayafanya kabisa
Kwa sababu unajijua

📖 *ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu* .
2 Wakorintho 4 :4

➡Ni maombi yangu kuwa kila mahali ambapo ufahamu wako umefungwa ili usiweze kuelewa mapenzi ya Mungu kwako ukafunguliwe leo Kwa jina la Yesu Kristo

➡ Jitengenezee Mazingira ya kumuuliza Mungu kila siku
Kila hatua inayofuata katika maisha yako

➡Hakika Maisha yako hayawezi kuwa ya kawaida aisee

➡ Amen Mungu akubariki sana kwa kufuatana nami katika somo hili

➡Naamini kuna ufahamu umeupata siku ya leo
Unaoweza kukutoa katika hatua moja kwenda nyingine katika kumuabudu Mungu

➡: Ulikuwa nami
John Mwakyoma
Nawapenda nami
John Mwakyoma
Nawapenda

Wednesday, July 3, 2019

JIFUNZE KUENENDA KWA ROHO ILI USIMHUZUNISHE ROHO MTAKATIFU

Bwana Yesu asifiwe
Si swala la unajickiaje au unataka Nn kutoka kwa Roho Mtakatifu Jambo la kwanza ndan ya ufahamu wako unatakiwa kutambua kwamba Roho Mtakatifu anaweza kuhuzunishwa na watu walibeba ndan Yao na gharama ya kumhuzunisha Roho Ni kubwa kuliko gharama ya kujifunza na kijitahid KUENENDA KWA ROHO ili usimhuzunishe,,,,

πŸ“– Waefeso:4.30
Wala msimhuzunishe yule Roho Mtakatifu wa Mungu; ambaye kwa yeye mlitiwa muhuri hata siku ya ukombozi.

πŸ“– 1 Wathesalonike:5.19
Msimzimishe Roho;

Roho Mtakatifu ni Mungu, anayo nafsi ambapo ndani yake kuna hisia na kwa jinsi hiyo anaweza kufurahi au  kuhuzunishwa pia

♦ Kwa maana hiyo lazima tuwe Makini Sana na namna tunavyohusiana nae

Siku ulipokubali kumpa Bwana Yesu maisha yako kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako MUNGU alimuachilia Roho Mtakatifu aje kukaa ndani mwako na kukuongoza kwenye kila hatua ya maisha yako

Lakn mfumo wa kuish kwako lazima uzingatie vigezo na mashart ili Roho Mtakatifu asje akahuzunika na kukuacha

♦ Madhara ya kumhuzunisha Roho Ni mabaya kulko tunavyoweza kufikir kwa watu wa MUNGU na MUNGU pia lakn madhara anayoyapata mtu Ni makubwa kulko MUNGU kwa sababu MUNGU anajitolesheleza katka uungu wake na anasema mm ninawasamehe kwa ajili yangu mwenyew usje ukajidai ya kwamba wewe au Toba yako ndo sababu ya kusamehewa kwako

♦Kwa sababu ingekuwa sababu zipo mikonon mwetu Kuna watu tungepata shida sana kwa kuwa huwa hatuna misamiat mizur wakat wa kuomba huwa hatuna vifungu madhubuti wakat wa kutubu ashukuriwe MUNGU sababu za msamaha wa kila mmojA wetu zipo mikonon mwake mwenyewe

Haleluuyah,,,,,

Bwana Yesu asifiwe

kumuhuzunisha Roho Mtakatifu ni kumuwekea mpaka katika utendaji wake kwa kukataa uongozi, maonyo au ushauri wake  unaolenga kuwezesha utekelezwaji wa kusudi la Mungu kupitia mwanadamu

♦ Nataka nkutazamishe vitu ambavyo mtu akiviishi au kuvifanya huwa vinampa Roho Mtakatifu huzuni

Kuna mambo mengi sana juu ya hili eneo Lkn nataka nkutazamishe kwa uchache mwngine tutamalizia wakati ujao

 Wakati fulani nlkuwa nasoma kitabu Cha mtumishi wa MUNGU Benny Hinn,,,,, Anasema siku moja akiwa kuomba ghafla akaanza kupewa maono watu wanashuka wanazama kwenye ziwa la Moto alafu akatokea malaika akiwa na ujumbe wa MUNGU akasema hao unaowaona wanaangamia wanatakiwa watoke huko kupitia wewe

Alipo ona hayo akajaa uchungu ndani mwake akalia huku akishindwa kujizuia

♦ Hiii sio huzuni ninayo izungumzia

Huku kunaitwa kuugua kwa Roho Mtakatifu ndan yako sawa sawa na warumi 8:26

πŸ“– Warumi:8.26
Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa .

♦Kuna huzun ya kufanyiwa dhihaka kukataliwa kutoa maongozi na huku MUNGU amempa jukumu la kutuongoza katka hatua zoote za maisha yetu ya kila siku

πŸ“– Isaya 63:9-10 imeandikwa ‘Katika mateso yao yote yeye aliteswa, na malaika wa uso wake akawaokoa; kwa mapenzi yake, na huruma zake, aliwakomboa mwenyewe; akawainua, AKAWACHUKUA siku zote za kale. Lakini WAKAASI , wakamhuzunisha Roho yake Mtakatifu; kwa hiyo akawageukia, akawa adui, akapigana nao’.

Ukitazama hapa Kuna mambo utayaona lakn point yangu kubwa ipo kwenye eneo nlilotia wino mzito na kuendelea

πŸ“–Biblia inatuambia watu wake wakaasi na kwa sababu ya huo uasi Roho akahuzunika!

πŸ”₯ Na unaona MUNGU anakasirika na kuwa adui wao

♦ Moja ya gharama ya kumhuzunisha Roho Mtakatifu ni kwamba unajikuta upo kwenye wakat mbaya kwa sababu automatically unakuwa adui ya Mungu

πŸ’‘Sasa usikuchukulie mchezo Mungu akakuita adui yake 

Wakati ujao tutazam vitu vya mbele zaidi 

Neema ya Bwana Yesu ikufunike na kukupa amani ipitayo akili zote,,,