Part 1
Ni Maombi yangu kwa Mungu akufungue akili upate kuelewa ujumbe wake maalumu kwako ameN
Jambo la Kwanza kabisa unatakiwa kulijua is that wealth is created and also can be created
```Jambo la pili linatakiwa kuwa ndan yako n kwamba kingdom wealth is beyond money```
Ntakupa Siri chache za ufalme za kukusaidia kucreate wealth as a kingdom envoy
Shalom
Mungu alipokuwa anafanya uumbaji alikuwa anaumba akiwa kwenye nafasi ya uungu inayo itwa Mungu muumbaji(muumba wa mbingu na nchi)
Utaona kwenye kitabu Cha mwanzo kabisa kitabu Cha utambukisho Biblia inaanza kumtafsir Mungu kama Mungu muumbaji
Mwanzo:1.1
Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi
Kwa hiyo tunaanza kumuona Mungu kwenye sura ya mwanzo kabisa Kama Yeye anataka tumjue kama n Mungu anaye umba he is God the creator
kwenye mchakato wa kuumba he spoke words into existence
Waebrania:11.3
Kwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri
Maana yake n kwamba kitabu cha mwanzo the raw material God used to create was words
Ninachotaka uanze kukiona hapa n juu ya maneno yaliyoumba kabla hayajatika Kuna mahala yalikuwa yana exist
before halijawa Neno la kuumbia ulimwengu lilikuwa Neno la moyoni mwa Mungu Kuna mtu ananielewa hapa?
So my interest is the word in the womb of the spirit of God before he spoke it into existence
This is very powerful mystery
hilo Neno kabla Mungu hajalitamka lilikuwa moyoni mwake!!
Ndyo Mungu huwa na hisia piah
Anaweza kufurahi, anaweza kuhuzunika, anaweza kukasirika kwa lugha hiyo anawaza piah anayo mawazo!
Yeremia:29.11
Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema Bwana, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.
Kama huwa anawaza ana mawazo ana mipango maalumu uwe na uhakika wakati wa uumbaji kabla hajasema iwe hiki owe kile vikatokea vilikuwa processed kama mawazo kwanza!
So creation haikuanzia kwenye kutamka ilianzia rohoni kwenye dimension mbali na uhalisia wa uumbaji ulipotokea!
This is all about creation!
So if we want to start creating wealth the first area we need to deal with is in the heart for it is where creation originates
Am talking about kingdom wealth you should be thinking beyond having alot of money in your bank account
tunapoanzaa kuuchakata moyo(nafsi/your mind) tutakuwa naa vipenegele vya kuviangalia
Sasa your mind will always be processing the informations available with in you
Una taarifa za aina gani na kwa kiwango kipi ndani yako vinaamua moyo wako ufanye mchakato(processing) kiasi gani juu ya kingdom wealth!
Kwa hiyo sasa kingdom wealth creation begins with the processing of the information originated from the kingdom with in your heart!
All the required informations are in the word of GOD
That's means kama ndan yako hujaanza kuweka Neno n vgumu kuanza kujua unaanzia wapi kukusanya utajiri wa
kifalme!
Leo nataka tushughulike na taarifa na moyo/mind ya
kwako
Nmekuambia kwamba kabla Mungu hajaanza kuumba lilikuwa na wazo!
hili linanipa ujasiri kusema kwamba kile ambacho hauna kina uwezekano wa kuwepo kama tu kinaweza kupata nafasi ndan ya moyo wa kwako
Remember also we were created in the image and likeness of God
Ndani yako kuna hiyo creation ability
Mungu amekuwekea kwa makusudi maalumu
tunachotarajia n moyo wenye uwezo kutafsir mambo kwa kiwango Cha kuweza kucreate wealth!
kwa hiyo Sasa kama kuna maeneo unatakiwa kuwa Makin nayo katika hatua za mwanzo n kuweka kudeposit Neno la Mungu la kutosha ndani yako kwa sababu kwa hilo uumbaji ulifanyika na kwa sababu hiyo likikaa ndani mwako lina Activate that part of God responsible for creation ndan mwako
That's to say in this Kingdom you don't the word of God you can't create wealth,you can never produce anything that
was never found inside of you
Proverbs4:23
Keep thy heart with all diligence; for out of it are the issues of life.
Proverbs 4:23 KJV
Ukisoma maandiko haya kwa makin utaona maandiko yanaguide kulinda moyo kuliko vyote tunavyovinda na sababy kubwa n kwa sababu kwa huo comes out issue that concerns your life!
What so ever you will demand in this life is in your heart
but there is technology in this Kingdom to bring out those issues in your heart into existence
Una information kiasi gani ndani yako za Neno la Mungu kuhusu wealth creation?
angalia kama MUNGU alikuwa na wazo kabla ya kuumba for us to create wealth in this kingdom we need the right thoughts!
and those thoughts are coming from a the word of God
kwa hiyo unatakiwa kuanza kuilsha nafsi yako neno la Mungu ili likupe uhai kwenye category unayotaka kufanikiwa kwalo(wealth creation)
ndani yako ukiweka Neno la kutoshaa likawa processed aaKwa umakini you will bring out wealth from inside of you
tunapotaka kuproduce daktari what we do is not to give him medicines or Patients no we first induace informations in him that will active his mind to be able to detect and cure diseases!
For a person to be able to create wealth you will need some informations in you to activate that part of you with an ability to create wealth to be active and make the best of out of you
There is a reason for why God gave you a mind!
Kingdom wealth creation
Waebrania:4.12
Maana Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.
Your mind needs the word of God for it to be sharp and bring out of yiu the issues of life
Kingdom wealth creation
Ngoja nkwambie kitu
Kuna elikado ambaye afamily yake inamfahamu Kuna elikado rafk zake wa karibu wanamfahamu, kuna elikado watu wanamuona mara kwa mara wanafahamu na kuna wewe unayemfahamu wewe peke yako na Mungu!
There are so many you
but am interested in the you whom you knows alone and God
Huyo mara zote ana ndoto kubwa, ana maono makubwa, huonag inawezekana, huona ukuu akiweka na Mungu wether anajua au hajui ila huwa anaona
Huyo huwa akipanga mambo anaona Raman nzima mpaka mafanikio yake au hatima yake
Huyo haijawahi kuona kufeli
He is a very strong personality
The problem to many of you is the inability to bring out that personality into existence
Your mind is bigger than you know it you just lack the activator for its expression to bring out the best out of you(issues of life)
The word of God
No comments:
Post a Comment