Ni maombi yangu mbele za Mungu akupe ufahamu na masikio ya kusikia ujumbe wa somo hili na ukujenge ukupe hatua mpya
Jambo la Kwanza nnalotaka ujue n kwamba Maombi mchakato wa kiroho ambao una matokeo maalumu ukifanywa kwa kuzingatia kanuni za kiroho zilizowekwa
Na Moja ya Mambo utakayokuja kugundua ni kwamba kadili unavyozidi katika eneo lako la kuomba eneo ulilopo linaanza kuunganisha na ufalme wenye mamlaka ya kiungu (wambingu)
hilo eneo linakuwa chini ya utawala wa Mungu unayemuomba na kwa njia ya wewe anaaanza kulimiliki Hilo eneo
remember we are extension of the kingdom of God
We are kingdom envoys
Lakin eneo ambalo nataka tuliangalie ni lile la maombi binafsi
Kwanini nasema hivyo
Kwan hujawahi ona Ukiwa na watu fulani unakuwa na fire ya kuomba au ukienda maeneo fulani unakuwa na nguvu kubwa ya kuomba lakin Ukiwa peke yako unakosa kabisa nguvu ya kuomba!?
This tells me that private prayer inahitaji mfumo binafsi utakao kusaidia kuomba tofauti na mfumo wa kundi kuomba
Na ujue kabisa kwamba eneo unalotumia kuomba Lina uhusiano mkubwa Sana na kiwango chako Cha kimaombi
Ndiyo maaba wengine wakiwa kanisani kwenye vikundi vya maombi wanaomba vizuri Sana lakin wakiwa peke yao nyumbani nguvu ya kuomba haipo tena
Unafikiri tatizo liko wapi?
Listen nguvu ya kuomba huwezi kuiona unapoomba tuy unapoakuwa kwenye kundi nguvu ya maombi utaanza kuiona unapokuwa peke yako nyumbani
The time you are able to connect heaven when you are alone
May be you want to say you are busy
rafik angu,,, Daniel was a busy man alikuwa anafanya Kaz serikalini but he prayed three times a day
Kwanini maombi binafsi kwa wakristo wengi imekuwa Ni tatzo Sana now days???
Private prayer
Kwa watu wengi now days they don't have time to pray alonE!
Unasema kivipi
Siku Moja jaribu kumpigia rafk yako simu Anza kumueleza Mambo ulitaka kumuomba Mungu utakuja kuona lisaa linaisha pengine hujamaliza kumueleza lakin Anza kuomba maombi hayo hayo kwa Mungu Utaona hata nusu saa Kaz kumaliza kuomba
Private prayer is very important lakin ni Moja ya Mambo ambayo shetani anapigana Sana kuhakikisha hupati nafasi ya kuyaishi
Fuatilia maandiko kwa Makini utagundua kwamba ufunuo alikuwa anawapa Mungu kuhusu maisha yao binafsi na kazi aliyompa mtu mmoja mmoja Kama life time assignment walikuwa wanazipta wakiwa wao peke yao na Mungu kuomba
Do you have private time where you are always alone with God??
Na kitu kibaya Zaidi duniani ni mifumo iliyopo makanisa mengi now days am not doing this to criticize but to build swala la kuwa mtegemezi kwa nabii wako, mchungaj wako, mtume wako Kias kwamba hauhitaj maombi binafsi huo ni ugonjwa
Me I call it spiritual paralysis
watu hatuombi!!!!
Usizunguzmie maombi ya kanisani kwako najua utasema aisee yalikuwa fire balaa
Swali langu kwako ni je iyo fire unaiona Ukiwa peke ako kwenye madhabahu yako ya maombi nyumbani???
Na wengine kwa kudanganywa na giza la ulimwengu huu wakiwa kanisani wanatembea kwenye mihemko wanalilia uongo ila kwa kweli wanajua Hali yao ya kiroho haiko sawa
Am talking about Fruits you should expect from your private prayers
Revelations comes from your prayer alter when you are alone with God
Matendo ya Mitume:2.1
Hata ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja
Matendo ya Mitume:2.3
Kukawatokea ndimi zilizogawanyikana, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao
Ukiangalia maandiko hayo utagundua kwamba pamoja na kwamba Hawa jamaa walikuwa mahali pamoja lakin kila mmoja alipokea ujazo wa Roho Mtakatifu kivyake anasema zile ndimibza Moto zilimkalia kila mmoja wao yaan kila mmoja alikwa na ulimi wa Moto kivyake juu Yake!!!
Am talking your personal life bro
Matendo ya Mitume:10.3
Akaona katika maono waziwazi, kama saa tisa ya mchana, malaika wa Mungu, akimjia na kumwambia, Kornelio!
He was alone when he met God!!!
Kama hauna maombi binafsi Kuna tatzo mahali
kama haupati muda peke yako kuomba kuna shida mahali
Kasome Biblia yako Utaona kabisa kwamba hakuna mtu ambaye Mungu alintumia kwa viwango vikubwa namaanisha viwango vikubwa (transgenerational pillars) ambaye hakuwa mtu wa maombi binafsi( men of secret prayers)
Hayupo Kama yupo Basi Mimi nimesoma Biblia iliyo forged
You want to see an anointed personality in your life??
Have a regular daily intense time of prayer with God!
```Unalala masaa yote
Unakula will nzima
Forget about the anointing of God```
God does not give his anointing to lazy Christians never
Una muda binafsi wa kuomba???
Lazima uwe na muda binafsi wa kuomba namaanisha Lazima Kama unataka kutumiwa na Mungu
Private prayers will tell you how weak you or how strong your are!!!
Ukitaka kujua ulivyo angalia eneo lako la maombi binafsi
Have I come to realize Eliya hakuwahi kuwa na Zaid masaa24 but his Prayers we're amazing one
Muda wako wa maombi Ni wa maana Sana kuliko unavyofikiri
You don't pray forget to be used by God
Maombi binafsi(private Prayer) yanakupa kujua upo dhaifu kiasi gani au imara kiasi gani katika Mungu
Let me show you something
Mtu yeyote anaweza kusoma Neno mtu yeyote anaweza kufundisha na kuhubiri lakin si kila mtu anaweza kuomba!!!
Nisikilze kwa makin ni eneo la maombi peke yake Tena maombi binafsi achana na ya kundi ambapo Unaweza kuona uhai wa maisha yako kiroho!!!
Kuomba n kujitoa
Kuhubiri,kufundsha yanaweza kuwa matokeo ya vitu unavyovifahamu
Maombi hayahitaj misiamiati mitamu mitamu ili yawe maombi serious yanahitaji Moyo ulio pondeka na kunyenyekea
It is only in the place of prayer where God will break you down and you bow before him the Ancient Zion King!!!
Isaya:66.2
Maana mkono wangu ndio uliofanya hivi vyote, vitu hivi vyote vikapata kutokea, asema Bwana; lakini mtu huyu ndiye nitakayemwangalia, mtu aliye mnyonge, mwenye roho iliyopondeka, atetemekaye asikiapo neno langu
Angalia anachosema Mungu anasema kila kitu unachokiona amekiumba yeye mwenyw ndye aliye kiumba!
Lakin jicho lake linaangalia watu kadhaa kwa lugha nyepes n Kama anataka kusema watu ambao huwa nawatazama kwa ukaribu n mtu mwenye roho iliyopondeka ba ndan yake anajikuta amenyenyekea neno la Bwana linaposikika!!!
Sasa sikiliza si watu wote huwa wakilisikia neno la Mungu linakuwa na uzito ndan ya mioyo yao
Oooh my God sijui Kama unaona kitu nataka uone hapa
Maana yangu n kwamba mtu mwenye maombi mengi huwa kwenye mazingira ambayo neno la Bwana linaposikika the word hits his inner being directly
Iko hivi maombi yanachokifanya sio kumketa Mungu karibu yako hapana badala take yanakusogeza wewe karibu na Mungu Sasa ukaribu huu usifikrie ule was kusema npo mbali kilometers kadhaa nooooo
Ukarbu huu n ule wa wewe kuwa na uwezo wa kuinteract with and share the life of God unakuwa unauishi uhalisia wa kiungu you become concious of God's presence in your every day Life
Maombi yanakupeleka kwenye ulimwengu mwungine mbali na uhalisia wa dunia hiii
When you begin to pray you begin to travel in the spiritual realm!!!!
You travel to the world with boundless entity
The world of the spirits
Mtu mwenye maombi I mean seriously prayer man anauwezo wa kuiona ajali ya mwezi ujao mipango ya giza ya wiki kesho na kwa njia ya maombi akageuza ule ubaya
Anaposema faith is a substance of things hoped for ana maana kwamba in faith dimensional world(spiritual world) you touch the substance of what you are hoping Kama kuna Jambo unalitumainia unalitarajia it is through prayers and faith you touch that thing a substance of things hoped for!!!!!
Yaan kwa Imani unakuwa unakishika kabisa hicho kitu rohoni prayer men can do that and beyond!!!!
Mtu mwenye maombi mengi yanayotokea huku duniani hayawezi kumshawishi kuachana na kile anachokishika rohoni(substance you hope for) kwa sababu n halisi kuliko material world !!!!
TUNAENDA SAWA SAWA!!??
Nisikilze private prayer is mandatory if you want to go far with God
Ngoja nkuonyeshe Jambo la ajabu kidogo
Waebrania:5.7
Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu
This was the life of Jesus
Maandiko yanasema alimtolea MUNGU maombidua na kulia kwingi
If this was God in the flesh and his prayers was like this how about the young people like you and me???
No wonder wanafunzi wake pamoja na kuona akifanya miracles zote zile maajabu yote Yale walichokiomba kwake n Bwana tufundishe kuomba!!!
Maana Yake nini
Wanafunzi wake walikuwa wakiyaona maisha ya Yesu the man was always speaking with spirits through prayers wakajua the screte about his powers and miracles is the world he was interacting with frequently it the heavenly realm
It is only men prayers who are able to travel to this dimensional kind of life !!!!
The other man was John the beloved
Yohana wa kitabu Cha ufunuo!!!
Nlikuwa nkifuatilia historia yake utakuja kugundua kwamba yule jamaa alikuwa n maombi kiasi ambacho hata kifo kilikuwa kinagoma kumchukua he became like one among the cherubim!!!
Walitaka kumuua yule jamaa
Walimuweka kwenye lami iliyokuwa imechemka vibaya lakin jamaa hakufa Wala kupata dhara lolote
Wakamfunga na farasi huku na huku kumvuta akatika vipande vipande but death refused to take him!!!
Ooooh glory glory!!!!
Wakaamua kumpeleka kisiwa kiitwacho patmo( the island of Patmos) ili afe na njaa matokeo Yake tunakuja kuona Yohana anaema nalikuwa katika roho oooooh my God these are men of prayers serious prayer meN!!!!!
Nisikilze praying is a sucrife broh
Huonagi ukitaka kuomba dakika ishirin zinakuwa Kama mwaka
Njoo kuchek movie Sasa masaa10 yanakuwa Kama dakika 5
We need God everyday some more
THE FRUITS OF PRIVATE PRAYER
Tunapokuwa tunamuomba Mungu,,, Mungu anakuwe wetu yeye na uungu wake wote!!!
Andrew Murray Aliwahi sema
Mungu anaweza kila kitu
Kwa lugha nyepesi maombi yanaweza kila kitu
swala la kuomba limekuwa tatizo Sana kwa kizazi hiki
Mungu atusaidie Sana
Leo hii ukikutana na mtu alienda dry fasting hata ya siku tatu Ni wachache Sana because we don't know what prayer can do to your spirit!!!!
Yakobo:5.16
Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii
Sio tuy swala la kuomba ila kuomba kwa bidii ndiko kunakofaa!!!!
Luke 18:1 KJV
And he spake a parable unto them to this end, that men ought always to pray, and not to faint
we are Beings of prayers
Binafsi nlifanya maamuzi I will pray like never before I will fast like never I want my generation to one day say we thank God for you
I decided to be a creature of fasting and prayers
I have seen God in my knees great things in the secrete place with the Lord
ThE DEVIL IS IN TROUBLE
Kingdom teacher,preacher
Elikado Mwasenga
0716333958
No comments:
Post a Comment