Part2
Kipind kilicho pita nilianza kwa kukuwekea msingi wa Neno la Mungu juu ya kingdom wealth creation secretes
nkiwa na maana kwamba kuna Siri ambazo kama mshirika wa ufalme unatakiwa kuzifahamu na kuziishi kikamilifu ili kukusanya Mali na utajiri
Leo tutasogea mbele kidogo!
Kwa eneo kubwa tuliona kama ndani yako kuna deficit ya Neno la Mungu unakuwa kwenye wakati mgumu Sana kuweza kutengeneza mawazo ya kimbingu katika kufikia hatua bora na hatima thabiti
Neno la Mungu lislipokuwa msingi wako wa Kwanza sahau kuhusu kingdom wealth
And I said when we are talking about kingdom wealth you should think beyond having alot of money then if you are thinking of money at least try to think of serious money
kabla sijaenda mbali Zaidi kuna Jambo Roho mtakatifu alipitisha ndan yangu nkushirikishe
Matayo:6.29
nami nawaambia, ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo
Matayo:6.31
Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini?
Matayo:6.33
Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
Kuna ujumbe hapa japo nitakudokezea tukizama Sana we will change the focus of subject today
Mstari wa 29 unatupa akili kujua kwamba swala la kuvaa kwaa suleimani yalikuwa la kustrugle kwako kuna external personality ilibeba hilo jukumu unasema kivip
Maandiko yanasema wazi kabisa ya kwamba hakuvikwa hausemi hakuvaaa au hakujivika vzur badala yake anatuambia hakuvikwa akiwa na maana kuna aliyekuwa anahusika na kuvalishwa kwake
Mm cjui kama unanielewa
And it was God himself
Jambo la pili anaposema tutafute kwanza ufalme wake na haki yake na tususimbuke juu ya nn tule,nn tuvae hajakoseaa ndyo sura ya uhalisia wa kile Mungu anataka watoto wake wakiishi
Sasa angalia kitu shetani anafanya
kumbuka lengo la Mungu n ufalme wake uwe the first priority kwenye moyo wako anacho kufanya shetani anaondoa uhalisia huo ndani yako kaa kuwekaa mazingira magumu Hali ngumu kiuchumi na kwa sababu haujatakaa kutembea na Neno la Mungu la kutosha unaona kama Mali isipotafutwa ukatafuta kwanza ufalmea unafail maisha
Lakin kwa kweli with the kingdom kuna kitu kinaitwa uweza utokao juu kimo ndani ya ufalme!!
Matendo ya Mitume:1.8
Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.
Nguvu ya kushuhudia n matokeo ya Roho mtakatifu kukaa juu yako
Mungu hatukupa kushuhudia bila kukupa means na facilities za kukuwezesha kushuhudia!
N vile tuy tunashinda kuelewa kwamba hiyo power inaweza kuwa expressed into various attributes
Unaweza kuwa kama miracle working power
Unaweza kuwa kama wisdom teaching power
Inaweza kuwa kama wisdom for problem solving power
It is the same power but because it is limitless power it can be expressed in various attributes and the goal is to manifest Jesus to reveal the living Jesus we are a proof and evedence that Jesus is God!
The same thing comes at wealth creation
That power also can be expressed as wealth creating power!
Kumbukumbu La Torati:8.18
Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo.
bila Shaka kuna point umedaka hapo
So what am trying to do n kukupa ufahamu utakao kusaidia wewe kuweza my unlock that power because it is given to you as potential power for it to bring out results it needs to be unlocked first!
That is why am teaching you these secretes they are kingdom secretes!
Tuendelee na Siri ya pili
2. Kingdom wealth is tied to the value of time
Mafanikio ya kifalme yamefungwa kwenye muda kwa lugha nyepesi muda n Jambo la muhimu la kuzngatia unayotaka kukusanya utajiri ndan ya ufalme
Neno la kiswahili jalijakaa poa utajiri n kakitu kadogo Sana ukilinganisha na kingdom a wealth makosa Neno zur kukutumia hapo ila elewa hivyo
Waefeso:5.15
Basi angalienisana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima
Waefeso:5.16
mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu
Jambo utakalo lionaa kwenye andiko hili n kwamba Moja ya mambo yanaweza kukusaidia kujua kama mtu ana hekima ni mwenendo wake hasa kwenye namna anavyotumia muda!
Ngoja nkupe andiko hili kwa namna pana kidogo
Ephesians 5:15-16 AMP
Therefore see that you walk carefully [living life with honor, purpose, and courage; shunning those who tolerate and enable evil], not as the unwise, but as wise [sensible, intelligent, discerning people]
making the very most of your time [on earth, recognizing and taking advantage of each opportunity and using it with wisdom and diligence] because the days are [filled with] evil.
Redeem you time
Neno komboa au redeem lililotumika hapo kwenye origin writings n Neno exagorazō usiwaze kama huwezi kulitamka😁😁
Maana yake hilo Neno n
Rescue from loss au kwa tafsri ingine ni
improve the opportunity
Paulo alichokuwa anajarbu kutumbia hapa n kwamba we need to rescue time from loss!
We need to improve the opportunity of time to bring out treasures out of it!
Kwa picha hii napata akili kwamba ndani ya muda kuna agenda maalumu na kubwa Sana imefungwa humo
Now the question is how do you rescue time from loss how do to use time as an opportunity and improve that very opportunity to create kingdom wealth??
1 Wakorinto:14.40
Lakini mambo yote na yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu
1 Corinthians 14:40 NLT
But be sure that everything is done properly and in order
In order to redeem time you need a well organized lifestyle
Maisha yaliyipangiliwa yanajisoma
Maisha yawe yanaeleweka unafanya mambo yako kwa muda na kwa wakati!
Time is also important if you want to create kingdom wealth
how to organise your life and your things with regard to time!
Unahitaji mambo makuu kadhaa ambayo yamethibitihswa kimaandiko
Jambo la Kwanza haukuzaliwa ufanye kila kitu hapa duniani you have your own special task
You are a unique specie of your own
Kwa hyo lazima ujue umeitwa kwenye category gan ili ukusaidie wewe kuweka mambo yako kwenye mkakati maalumu!!
baada ya hapo hatua inayofuata n wewe kufanya yafuatayo
1. Invest in yourself work on being muda wako mwingi uitumie kujinoa utu wako wa ndani!
Improve your personality
Nourish your mind nourish your character before you start looking for money before you start looking for investment
Because it is from what is with in you that you are able to birth out!
My question to you is what do you do with your time
What is that which takes the most of your time in the daily basis ??
Unasoma vitabu Kias gan Unasoma Neno Kiasi gan unaomba masaa mangapi
Wengine wanatumia Neno jitafute
Find the best aversion of you
Make sure everyday you are existing as the lastest model of you
USE YOUR TIME WISELY
Unaweza kuwa na mipango mizur maono thabiti lakin kama swala la kutumia muda utalipuuzia hufuki popote nakwambia
Hakikisha hata kama unataka kuanza biashara unataka kufuga hakikisha una taarifa nyingi zaida ya mtu yoyote kuhusu hilo swala and you will see why the Bible demands us to buy the opportunity (time) to redeem(to improve to rescue from loss)
2. Segmentation
Maana yangu n nn
Hapa ninachotaka ukione n kwamba uko na vitu viwili viatati vya kufanya
Let's say wewe n mwanafunzi
Una kusoma masomo ya darasan unahitaj kusoma Neno unahitaji kujinoa juu ya uchumi nk nk
Sasa huwezi kufanya vyote kwa wakati mmoja na kwa ubora sawa
Segmentation is all about categorizing these things into ranks
Unagawanya vipenegele maisha yaliyo pangiliwa yakapangika!
Kinachofuata na hatua ingine
3. Concentration
Hapa unatakiwa kutumia muda wako mwingi kwenye jambo ambalo unataka kuliishi maisha yako mengi
You bring your full concentration to it
You spend much of your time on it!!
That is what we call wisdom for Dominion
Mungu akubariki
No comments:
Post a Comment