Popular Posts

Wednesday, October 7, 2020

KINGDOM WEALTH CREATION SECRETES

Part2 

Kipind kilicho pita nilianza kwa kukuwekea msingi wa Neno la Mungu juu ya kingdom wealth creation secretes

nkiwa na maana kwamba kuna Siri ambazo kama mshirika wa ufalme unatakiwa kuzifahamu na kuziishi kikamilifu ili kukusanya Mali na utajiri

Leo tutasogea mbele kidogo!
Kwa eneo kubwa tuliona kama ndani yako kuna deficit ya Neno la Mungu unakuwa kwenye wakati mgumu Sana kuweza kutengeneza mawazo ya kimbingu katika kufikia hatua bora na hatima thabiti

Neno la Mungu lislipokuwa msingi wako wa Kwanza sahau kuhusu kingdom wealth

And I said when we are talking about kingdom wealth you should think beyond having alot of money then if you are thinking of money at least try to think of serious money

kabla sijaenda mbali Zaidi kuna Jambo Roho mtakatifu alipitisha ndan yangu nkushirikishe

Matayo:6.29
nami nawaambia, ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo


Matayo:6.31
Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini?

Matayo:6.33
Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.

Kuna ujumbe hapa japo nitakudokezea tukizama Sana we will change the focus of subject today

Mstari wa 29 unatupa akili kujua kwamba swala la kuvaa kwaa suleimani yalikuwa la kustrugle kwako kuna external personality ilibeba hilo jukumu unasema kivip

Maandiko yanasema wazi kabisa ya kwamba hakuvikwa hausemi hakuvaaa au hakujivika vzur badala yake anatuambia hakuvikwa akiwa na maana kuna aliyekuwa anahusika na kuvalishwa kwake

Mm cjui kama unanielewa
And it was God himself

Jambo la pili anaposema tutafute kwanza ufalme wake na haki yake na tususimbuke juu ya nn tule,nn tuvae hajakoseaa ndyo sura ya uhalisia wa kile Mungu anataka watoto wake wakiishi
Sasa angalia kitu shetani anafanya

kumbuka lengo la Mungu n ufalme wake uwe the first priority kwenye moyo wako anacho kufanya shetani anaondoa uhalisia huo ndani yako kaa kuwekaa mazingira magumu Hali ngumu kiuchumi na kwa sababu haujatakaa kutembea na Neno la Mungu la kutosha unaona kama Mali isipotafutwa ukatafuta kwanza ufalmea unafail maisha

Lakin kwa kweli with the kingdom kuna kitu kinaitwa uweza utokao juu kimo ndani ya ufalme!!

Matendo ya Mitume:1.8
Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.

Nguvu ya kushuhudia n matokeo ya Roho mtakatifu kukaa juu yako

Mungu hatukupa kushuhudia bila kukupa means na facilities za kukuwezesha kushuhudia!
N vile tuy tunashinda kuelewa kwamba hiyo power inaweza kuwa expressed into various attributes

Unaweza kuwa kama miracle working power

Unaweza kuwa kama wisdom teaching power

Inaweza kuwa kama wisdom for problem solving power

It is the same power but because it is limitless power it can be expressed in various attributes and the goal is to manifest Jesus to reveal the living Jesus we are a proof and evedence that Jesus is God!

The same thing comes at wealth creation
That power also can be expressed as wealth creating power!

Kumbukumbu La Torati:8.18
Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo.

bila Shaka kuna point umedaka hapo

So what am trying to do n kukupa ufahamu utakao kusaidia wewe kuweza my unlock that power because it is given to you as potential power for it to bring out results it needs to be unlocked first!

That is why am teaching you these secretes they are kingdom secretes!

Tuendelee na Siri ya pili
2. Kingdom wealth is tied to the value of time

Mafanikio ya kifalme yamefungwa kwenye muda kwa lugha nyepesi muda n Jambo la muhimu la kuzngatia unayotaka kukusanya utajiri ndan ya ufalme

Neno la kiswahili jalijakaa poa utajiri n kakitu kadogo Sana ukilinganisha na kingdom a wealth makosa Neno zur kukutumia hapo ila elewa hivyo

Waefeso:5.15
Basi angalienisana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima

Waefeso:5.16
mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu

Jambo utakalo lionaa kwenye andiko hili n kwamba Moja ya mambo yanaweza kukusaidia kujua kama mtu ana hekima ni mwenendo wake hasa kwenye namna anavyotumia muda!

Ngoja nkupe andiko hili kwa namna pana kidogo

Ephesians 5:15‭-‬16 AMP

Therefore see that you walk carefully [living life with honor, purpose, and courage; shunning those who tolerate and enable evil], not as the unwise, but as wise [sensible, intelligent, discerning people]

making the very most of your time [on earth, recognizing and taking advantage of each opportunity and using it with wisdom and diligence] because the days are [filled with] evil.

Redeem you time

Neno komboa au redeem lililotumika hapo kwenye origin writings n Neno exagorazō usiwaze kama huwezi kulitamka😁😁
Maana yake hilo Neno n
Rescue from loss au kwa tafsri ingine ni

improve the opportunity

Paulo alichokuwa anajarbu kutumbia hapa n kwamba we need to rescue time from loss!
We need to improve the opportunity of time to bring out treasures out of it!

Kwa picha hii napata akili kwamba ndani ya muda kuna agenda maalumu na kubwa Sana imefungwa humo

Now the question is how do you rescue time from loss how do to use time as an opportunity and improve that very opportunity to create kingdom wealth??

1 Wakorinto:14.40
Lakini mambo yote na yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu

1 Corinthians 14:40 NLT

But be sure that everything is done properly and in order

In order to redeem time you need a well organized lifestyle
Maisha yaliyipangiliwa yanajisoma

Maisha yawe yanaeleweka unafanya mambo yako kwa muda na kwa wakati!

Time is also important if you want to create kingdom wealth
how to organise your life and your things with regard to time!

Unahitaji mambo makuu kadhaa ambayo yamethibitihswa kimaandiko
Jambo la Kwanza haukuzaliwa ufanye kila kitu hapa duniani you have your own special task

You are a unique specie of your own

Kwa hyo lazima ujue umeitwa kwenye category gan ili ukusaidie wewe kuweka mambo yako kwenye mkakati maalumu!!

baada ya hapo hatua inayofuata n wewe kufanya yafuatayo

1. Invest in yourself work on being muda wako mwingi uitumie kujinoa utu wako wa ndani!

Improve your personality
Nourish your mind nourish your character before you start looking for money before you start looking for investment

Because it is from what is with in you that you are able to birth out!

My question to you is what do you do with your time
What is that which takes the most of your time in the daily basis ??

Unasoma vitabu Kias gan Unasoma Neno Kiasi gan unaomba masaa mangapi
Wengine wanatumia Neno jitafute

Find the best aversion of you
Make sure everyday you are existing as the lastest model of you
USE YOUR TIME WISELY

Unaweza kuwa na mipango mizur maono thabiti lakin kama swala la kutumia muda utalipuuzia hufuki popote nakwambia

Hakikisha hata kama unataka kuanza biashara unataka kufuga hakikisha una taarifa nyingi zaida ya mtu yoyote kuhusu hilo swala and you will see why the Bible demands us to buy the opportunity (time) to redeem(to improve to rescue from loss)

2. Segmentation
Maana yangu n nn
Hapa ninachotaka ukione n kwamba uko na vitu viwili viatati vya kufanya

Let's say wewe n mwanafunzi
Una kusoma masomo ya darasan unahitaj kusoma Neno unahitaji kujinoa juu ya uchumi nk nk

Sasa huwezi kufanya vyote kwa wakati mmoja na kwa ubora sawa

Segmentation is all about categorizing these things into ranks

Unagawanya vipenegele maisha yaliyo pangiliwa yakapangika!

Kinachofuata na hatua ingine

3. Concentration
Hapa unatakiwa kutumia muda wako mwingi kwenye jambo ambalo unataka kuliishi maisha yako mengi
You bring your full concentration to it
You spend much of your time on it!!

That is what we call wisdom for Dominion

Mungu akubariki

Kingdom Wealth creation secretes

Part 1
Ni Maombi yangu kwa Mungu akufungue akili upate kuelewa ujumbe wake maalumu kwako ameN

Jambo la Kwanza kabisa unatakiwa kulijua is that wealth is created and also can be created

```Jambo la pili linatakiwa kuwa ndan yako n kwamba kingdom wealth is beyond money```

Ntakupa Siri chache za ufalme za kukusaidia kucreate wealth as a kingdom envoy
Shalom

Mungu alipokuwa anafanya uumbaji alikuwa anaumba akiwa kwenye nafasi ya uungu inayo itwa Mungu muumbaji(muumba wa mbingu na nchi)
Utaona kwenye kitabu Cha mwanzo kabisa kitabu Cha utambukisho Biblia inaanza kumtafsir Mungu kama Mungu muumbaji

Mwanzo:1.1
Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi

Kwa hiyo tunaanza kumuona Mungu kwenye sura ya mwanzo kabisa Kama Yeye anataka tumjue kama n Mungu anaye umba he is God the creator

kwenye mchakato wa kuumba he spoke words into existence

Waebrania:11.3
Kwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri

Maana yake n kwamba kitabu cha mwanzo the raw material God used to create was words
Ninachotaka uanze kukiona hapa n juu ya maneno yaliyoumba kabla hayajatika Kuna mahala yalikuwa yana exist

before halijawa Neno la kuumbia ulimwengu lilikuwa Neno la moyoni mwa Mungu Kuna mtu ananielewa hapa?
So my interest is the word in the womb of the spirit of God before he spoke it into existence

This is very powerful mystery
hilo Neno kabla Mungu hajalitamka lilikuwa moyoni mwake!!

Ndyo Mungu huwa na hisia piah

Anaweza kufurahi, anaweza kuhuzunika, anaweza kukasirika kwa lugha hiyo anawaza piah anayo mawazo!

Yeremia:29.11
Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema Bwana, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.

Kama huwa anawaza ana mawazo ana mipango maalumu uwe na uhakika wakati wa uumbaji kabla hajasema iwe hiki owe kile vikatokea vilikuwa processed kama mawazo kwanza!
So creation haikuanzia kwenye kutamka ilianzia rohoni kwenye dimension mbali na uhalisia wa uumbaji ulipotokea!

This is all about creation!

So if we want to start creating wealth the first area we need to deal with is in the heart for it is where creation originates

Am talking about kingdom wealth you should be thinking beyond having alot of money in your bank account

tunapoanzaa kuuchakata moyo(nafsi/your mind) tutakuwa naa vipenegele vya kuviangalia

Sasa your mind will always be processing the informations available with in you

Una taarifa za aina gani na kwa kiwango kipi ndani yako vinaamua moyo wako ufanye mchakato(processing) kiasi gani juu ya kingdom wealth!

Kwa hiyo sasa kingdom wealth creation begins with the processing of the information originated from the kingdom with in your heart!

All the required informations are in the word of GOD

That's means kama ndan yako hujaanza kuweka Neno n vgumu kuanza kujua unaanzia wapi kukusanya utajiri wa 
kifalme!

Leo nataka tushughulike na taarifa na moyo/mind ya 
kwako

Nmekuambia kwamba kabla Mungu hajaanza kuumba lilikuwa na wazo!
hili linanipa ujasiri kusema kwamba kile ambacho hauna kina uwezekano wa kuwepo kama tu kinaweza kupata nafasi ndan ya moyo wa kwako

Remember also we were created in the image and likeness of God

Ndani yako kuna hiyo creation ability

Mungu amekuwekea kwa makusudi maalumu
tunachotarajia n moyo wenye uwezo kutafsir mambo kwa kiwango Cha kuweza kucreate wealth!

kwa hiyo Sasa kama kuna maeneo unatakiwa kuwa Makin nayo katika hatua za mwanzo n kuweka kudeposit Neno la Mungu la kutosha ndani yako kwa sababu kwa hilo uumbaji ulifanyika na kwa sababu hiyo likikaa ndani mwako lina Activate that part of God responsible for creation ndan mwako

That's to say in this Kingdom you don't the word of God you can't create wealth,you can never produce anything that 
was never found inside of you

Proverbs4:23
Keep thy heart with all diligence; for out of it are the issues of life.

Proverbs 4:23 KJV
Ukisoma maandiko haya kwa makin utaona maandiko yanaguide kulinda moyo kuliko vyote tunavyovinda na sababy kubwa n kwa sababu kwa huo comes out issue that concerns your life!

What so ever you will demand in this life is in your heart
but there is technology in this Kingdom to bring out those issues in your heart into existence

Una information kiasi gani ndani yako za Neno la Mungu kuhusu wealth creation?

angalia kama MUNGU alikuwa na wazo kabla ya kuumba for us to create wealth in this kingdom we need the right thoughts!
and those thoughts are coming from a the word of God

kwa hiyo unatakiwa kuanza kuilsha nafsi yako neno la Mungu ili likupe uhai kwenye category unayotaka kufanikiwa kwalo(wealth creation)

ndani yako ukiweka Neno la kutoshaa likawa processed aaKwa umakini you will bring out wealth from inside of you
tunapotaka kuproduce daktari what we do is not to give him medicines or Patients no we first induace informations in him that will active his mind to be able to detect and cure diseases!

For a person to be able to create wealth you will need some informations in you to activate that part of you with an ability to create wealth to be active and make the best of out of you

There is a reason for why God gave you a mind!
Kingdom wealth creation
Waebrania:4.12
Maana Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.

Your mind needs the word of God for it to be sharp and bring out of yiu the issues of life

Kingdom wealth creation

Ngoja nkwambie kitu
Kuna elikado ambaye afamily yake inamfahamu Kuna elikado rafk zake wa karibu wanamfahamu, kuna elikado watu wanamuona mara kwa mara wanafahamu na kuna wewe unayemfahamu wewe peke yako na Mungu!

There are so many you
but am interested in the you whom you knows alone and God

Huyo mara zote ana ndoto kubwa, ana maono makubwa, huonag inawezekana, huona ukuu akiweka na Mungu wether anajua au hajui ila huwa anaona
Huyo huwa akipanga mambo anaona Raman nzima mpaka mafanikio yake au hatima yake
Huyo haijawahi kuona kufeli
He is a very strong personality

The problem to many of you is the inability to bring out that personality into existence

Your mind is bigger than you know it you just lack the activator for its expression to bring out the best out of you(issues of life)
The word of God